If you do not have anything nice to say, please keep your opinions to yourself.
May God rest his soul in peace.
2026-07-26 02:50:00
5
muhsin wahida hussein :
ya Allah hakika waja wako sisi ni wakosefu tusamehe mazambi yetu. 😭😭😭
2026-07-25 18:44:46
23
Mrs 🌹chuy🐅 :
hy sio maneno ya kusema hkika ss ni bidaamu hatuwez kujuw mwisho wetu la.muhimu nikuomneana duwa allha amsamehe makosa yk na ss atupe mwisho mwema pmoja na wazee wt na vizazi vyetu🤲
2026-07-26 02:48:36
11
Miss sabra :
Yaa Allah tunakuomba utusamehe makosa yetuu na utujaalie mwisho mwemaa
2026-07-25 22:49:56
10
de_queen❤️ :
Kumbe alikuwaaa ashazeeek 🥺
2026-07-25 19:11:04
5
Suleiman Ali :
hakika kifo ni mawaidha.Pqmojq na kuwa picha si ya marehemu, lakini tuendelee kumuomba MUNGU Atuongoe na Atupe.mwisho mwema na Atusamehe makosa yetubyote na ATUW3KE PEPONI SOTE TUNAOQMINI SHAHADA
2026-07-26 05:19:49
1
ilmia :
hana watu sjui naona wachache mno
2026-07-25 19:24:52
4
SAFFRON :
Allah alishasema popote ulipo hata mujifiche kwenye ngome mauti yatawafikia tu,alikimbia Tanzania kuelea ulaya kwa mambo yake,na umauti umemkuta huko huko
2026-07-26 01:47:52
3
taludida :
huyo siye
2026-07-26 02:39:38
1
Mrs A❤️ :
Kmbe Ashkua mtu mzm
2026-07-25 20:09:13
2
gael clichy :
kazikwa zanzibar sehem gani?
2026-07-26 04:41:28
0
Alafin_AbduL :
kuLLu Nafsi dhaikatuL maut😭
2026-07-26 00:47:18
2
milah :
marehem kaacha watoto. wangapi na vizuka wangapi jamn
2026-07-26 04:57:13
0
Maryam :
Allah amsamsamehe makosa yake 🤲
2026-07-26 04:19:47
0
Oriole :
Watu wengi hauna umuhimu
2026-07-25 20:09:16
3
user1379410116689harous ruwehy :
watu wahuni jmn mbona sie huyu
2026-07-26 04:20:22
0
thaliy gift & wrapping💐 :
husni lhatma ya rabiy🙏
2026-07-26 04:13:34
0
user2861269722927 :
huyo sio sabri
2026-07-26 04:36:33
0
Sabruu :
ALLAH amsameh alipokosea na sisi atupe mwisho mwema.
2026-07-26 05:25:26
0
Sabruu :
hakuna mja alikua Hana makosa,na mwenye kutia hukmu ni ALLAH,muombeni dua tu Kwa sababu hatujijui mwisho wetu ,inna lillahy wainna ilayhi rajiiun .
2026-07-26 05:24:27
0
Abdulwahid :
Innalillah wainnailayh rajioun
2026-07-25 22:21:14
4
47R4§H :
uyo sie
2026-07-26 03:47:08
0
user9266118709269 :
waongo sio picha yake haifai nyie hamna watoto hana mna mkejeli mwana wa mwenzenu malipo duniani mna watoto vo nyie mungu hachelewi kulipa tujitahidi na ndimi zetu msije kujuta kwani mungu akikilipa usije kusahau kama ulimkejeli mwana wa mwenzio
2026-07-26 03:52:42
2
Rukayya Nassor :
WWE hutozeeka utakata maisha hivyohivyo poleni msojijua kwamnayoongea
2026-07-26 02:25:52
2
To see more videos from user @meddy_0709, please go to the Tikwm
homepage.