@uhamiaji.tz: 🇹🇿📘 MAMBO 10 USIYOYAJUA KUHUSU PASIPOTI YA TANZANIA Pasipoti si kijitabu cha kawaida. Ni nyaraka rasmi, utambulisho wako nje ya nchi na mali ya Serikali. 🔐 Itunze. Hakiki taarifa zako. Itumie kwa usahihi. 🌐 www.immigration.go.tz #UhamiajiTanzania #PasipotiYaTanzania #SafiriKisheria #Tanzania
mpaka uwe na mwenyeji pale uhamiaji au utoe rushwa ndio utapata lkin hivi hivi tu huwezi pata, mm mwaka wa pili huu sijapata na vigezo nimetimiza adi fingerprint nimefanya
2026-07-26 05:45:46
5
Science projects + AI for kids :
it's very hard to get a passport currently, what isn't happening...??? help please
2026-07-25 19:51:48
0
Jason Wemba :
sisi tunakuja congo pasipot aifiki miaka 3 inakuwa imejaa visa je Kuna karatasi za kuongezea ifike miaka kumi
2026-07-26 03:55:19
0
Tuma Mwinyi :
Eeeh kumbe natembea na mali ya Serekal na cjui 😳😳
2026-07-26 09:39:10
0
prea@99 :
inachukua muda gani kupata passport baada ya kuwasilisha maombi na kufanya mahojiano?
2026-07-25 18:19:07
0
Latifah4 salim :
shukran sana nashukuru sana selekali Yangu kwa kuniamini na kunipa passport Niko napambana
2026-07-26 03:41:36
2
zuwenaramadhani73 :
rushwa mbele hivhiv upat
2026-07-26 06:41:30
0
Nasmira :
🙏🙏🙏
2026-07-26 05:33:42
0
Kitenge Ayoub :
🤗🤗🤗
2026-07-26 07:52:03
0
To see more videos from user @uhamiaji.tz, please go to the Tikwm
homepage.