@scopemediatz: Beki Bora wa kulia Shomari Kapombe ameeleza kuwa Kariakoo Dabi ni Moja ya mechi ngumu na zenye Presha kubwa ambayo hazizoeleki hivyo Kuna muda unaweza kutamani Bora hata mechi isingekuwepo. Cc: Safari Lager Podcast (On YouTube) #ScopeMedia

Scope Media
Scope Media
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 25 July 2026 19:06:25 GMT
372887
29032
133
202

Music

Download

Comments

cainarmak0
CAIN TRONICS :
mmemuonesha kikosi jipya lakini
2026-07-26 04:45:18
42
user6827429591957
tabisa lindu :
kapombe i love you 😍
2026-07-26 07:07:17
19
nickreal7
Nickreal :
ila nowadays Darby imekosa mvuto bhna kipindi kile ukisikia Darby tim zinasafiri yanga zanzibar simba bagamoyo siku ya mechi kinachafuka kwli ila sahz mmh hamna kitu
2026-07-25 22:28:12
26
beeyyothuman
beeyyothumanmagan :
daaaa nihataliii
2026-07-25 21:36:50
13
athumani935
athumani :
Kwann inje ya uwanja?
2026-07-26 19:49:26
4
listen.music560
Listen Music :
Kapombe mchambuz bora wa badae the way anavyoongea fact kiukweli ni mchambuz mzur badae
2026-07-26 08:43:05
36
reallymasoud
official_masoud😍 :
Kama mchezaji kaongea uhalisia mtupu, hamna mchezaji ambaye anaichukulia dabi kawaida
2026-07-25 22:14:03
37
livingstonepalla23
Livingstone Pallangyo :
mm yanga lakn huyu beki kitasa sana fahar ya Tanzania
2026-07-26 14:02:23
15
user1330276157923
user1330276157923 :
ni mkweli mm mmoja wapo presha inakuwa juu
2026-08-14 10:16:28
3
veronikakisonga
verana :
tunakukubali kapombe
2026-07-26 22:17:25
2
nestorymoric
Mr. Auditor 2025. :
jamaa wanakumbuka 5-1....wanatamani kucheka 😂😂😂
2026-07-29 17:27:11
3
egongabriel455
zacharia Gabriel🇹🇿 :
Hayo maandalizi ya nje ya uwanja yapoje
2026-08-19 12:40:43
3
mr.germany20
Mr Germany 🤗 :
kumbe huwa Wanaogopa🤣🤣
2026-07-30 15:20:13
1
user1586341965533
habi5bu7 :
hatujii
2026-08-21 19:02:11
1
cremorayper531
CREMORAYPER :
mbona job anataka kucheka☺️😂😂😂😅
2026-07-27 10:03:57
2
shewa_boi
Shewa_boí :
Ali bhan
2026-08-24 06:47:49
1
ndamajeuli6.0695241188
Ndamajeuli :
🥰🥰🥰🥰
2026-07-25 22:28:38
8
user3735072975043
user3735072975043 :
🥰 ni kweli kabisa mim Simba ila Nina presha mpaka nikiw nyumban badala ya kiangalia tv nawasha redio aisee mpira mtam tareh 12 nilikua nasikilizia kwenye bed nilipofungwa wew nilikua nawaza tu kesho kazini yangaa 😳😳..
2026-08-20 10:53:35
2
mykoara
BABA KOARA🐨 :
nimejuwa sasa kwa nini ile hatuchezi Yanga jambo hilo walikazania kumbe wenzetu kuna mda hawataki hata kucheza
2026-07-26 04:10:06
8
user2246759396194james
tonny james :
kumbe mnaogopa dabi
2026-08-12 07:40:29
1
user2751921652678
Bladsina neno$$$ :
inabidi ucheze eeeee Darby ningumu eeeeee mchezo wa Simba na Yanga ni pressure kubwa eeeeee dah Kila neno ni eeeeeee kama dj maphi😂😂
2026-08-19 19:42:06
1
user9054814610060
Anderson Amos :
Fact
2026-07-27 06:31:44
1
officia2391
dizzo_ kids ☘️ :
Kwann wat wa simba wanaiogp derby
2026-07-27 12:54:35
2
user65951273217561
tele kalinga nachombwe💃💃 :
hata mm daby naonaga bora isingekuwepo huwa inaumiza sana
2026-07-27 03:26:24
3
dgzhijzhn
god's plan :
saiv dabi ya mzma ndy kali
2026-07-26 08:32:33
4
To see more videos from user @scopemediatz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About