@kikivibe360: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema endapo angepata nafasi ya kutoa neno moja la mwisho kwa Watanzania, angewataka wapambane ili kupata Katiba Mpya, na kwamba Watanzania hawapaswi kulegeza juhudi za kudai Katiba mpya, akisisitiza kuwa kuendelea kuipa kipaumbele ajenda hiyo kutasaidia kuhakikisha mchakato unakamilika chini ya uongozi wenye utayari wa kuutekeleza. "Ndio maana kama nina kitu cha kuwaambia Watanzania, ningeambiwa hebu Makamu wa Rais waambie Watanzania jambo moja tu nitasema Pambaneni mpate Katiba mpya, pamabaneni mpate katiba ambayo inamakubaliano ya wadau wote, Katiba yenye muafaka katika taifa, Katiba itakayotupeleka mbele miaka 50 inayokuja" Dkt.Nchimbi ameeleza haya Jijini Dar es salaam katika Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu, na kwamba mjadala wa kupata Katiba Mpya umedumu kwa zaidi ya miaka 40, huku vuguvugu la kuitafuta likianza mwaka 1992. Amesema Serikali ya Awamu ya Nne ilianza mchakato wa Katiba Mpya, lakini changamoto iliyojitokeza ni kuwa madai ya Wananchi yalikuwa mengi na yalihitaji kushughulikiwa kwa pamoja. #DktNchimbi #trending #katibampya #samia #tanzaniantiktok
KIKI VIBE ๐น๐ฟ
Region: TZ
Sunday 26 July 2026 08:43:14 GMT
Music
Download
Comments
Alfonce John :
Get up Stand Up ,,,,,,,,,,,
2026-08-25 17:27:52
0
shamimu mkanula :
marehemu siku ya mwisho aliongea.......
2026-08-25 13:38:29
12
ever youngson :
baba toka moyoni mungu akupe maisha marefu
2026-08-25 19:43:41
1
chacha mokale :
mungu tupiganie kwa hili chimbi mungu awe nawe Miaka yote
2026-08-25 20:31:25
1
Bakari Jaffari :
mweshimiwa ww ni mfano wa viongoz wa awali tunataman sana
2026-07-29 21:40:49
8
rodofaki :
ikija katiba mpya vipi kihusu maslahi yetu wazanzibar yakoje
2026-08-25 10:28:39
1
mpitaji :
Yanga msimu huu haijasajilii wachezaji kwahiyo simba bingwa๐
๐
๐๐๐
๐
2026-08-25 16:31:32
2
enga official :
mifumo iyo hamna lolote mpango n 2030 tu
2026-08-25 12:48:48
2
One Kiduku :
saf saana mngu akubaliki sana kwakujal watu na kuwa mzalendo kwainchi yetu๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ
2026-07-28 17:52:01
2
justin james :
Nashindwa kuelewa, ila hizo ni plan zenu tuje tukupe kura wewe hakuna naushindwe kabisa nasipigi kura maana kupiga kura na kutokupiga yote ni yale yal
2026-07-28 12:37:45
4
Shaban Mhina :
Duh ya kweli hayooo kama kweli Ubarikiwe
2026-07-26 08:49:00
3
Muddy Salehe :
asante sana baba yaseme eee
2026-08-06 18:34:19
2
Edward Assenga :
tumekuelewa
2026-07-26 12:21:15
2
Mansoury Power :
tumeshtuka
2026-07-28 19:17:53
2
shaibu matemelela :
mbona katiba kwa Samia tu kwa magu mlikaa kimya acheni kuzingua katiba mali ya wa siasa
2026-07-30 21:42:00
3
Yusuph Pasco :
very nice
2026-07-26 23:37:22
1
hansi furnitures :
kweli mzee๐๐๐๐๐๐๐
2026-07-26 12:52:25
1
user6630752410987 :
unafiki wauwaji hawa waloiba uchaguzi hawa leo wanateambia tupambane nao kudai katiba.
2026-08-01 13:53:47
2
Omar isa :
unajua kunabaadhi hawaelewi Nini kinafanyika raisi Samia yeye ndie aleitaka katiba mchimbi kishasema raisi kishakua na Nia
2026-08-12 20:22:07
2
Richard daughter :
nikwwl unachosem bab mm imenitokea police kituo cha usalama wanapenda ela sana
2026-08-25 12:32:45
1
denice :
asante baba
2026-08-25 21:18:41
0
mushehetogwa :
uko sawa mwamba
2026-08-25 22:53:58
0
Mohamedy Nyonga :
iko. sawa
2026-08-25 22:51:14
0
Sultan Rashid :
Mungu amlinde Rais wetu na Tz
2026-08-25 21:21:19
0
balloteli :
kwann asife
2026-08-25 21:58:20
0
To see more videos from user @kikivibe360, please go to the Tikwm
homepage.