Kuna watu baada ya kuskia Hivi wana stress mbaya kabsaa wamekimbilia hospitalii
2026-07-26 20:17:50
80
kamndumi :
Bora mimi nilijieka wazi naumwa aisee japo kuna mda inaniuamaga sana hii hali😭😭
2026-07-26 19:40:30
25
Ibrahim Lotha :
Jaman msiende fb watu wanasafishiana picha😂😂
2026-07-26 19:04:04
40
Black queen 👸 :
Kama na waona walio lala na DOTTO MAGARI 😂😂
2026-07-27 10:19:04
7
Happy Chuwa :
dadaa umeokoa maisha ya wengi sana 👏
2026-07-26 18:59:15
23
sabina :
Sasa hata kama unajua ana maambukizi na anatembea na watu wengine bila kusema ukweli wewe una ruhusa gan ya kumtangaza mtu mtandaoni umekosa namna ya kumfikia
2026-07-27 10:38:09
2
dedeh Tz :
tutaanza kutumia mitishamba maana tukija hospital tutatanganzwa
2026-07-27 14:15:49
3
mlacha :
Huyu dada alishasema kama una vidoti vyeusi kwenye nyayo una ukimwi wakati watu wanazaliwa navyo😏😏😏😏😏
2026-07-26 14:28:24
7
Yusuph Baha :
kwa hiyo Sasa tufanye nn🤣
2026-07-26 12:44:48
10
Nurdeen109💣💣💣 :
2026-07-27 06:59:36
3
Shuttle blood :
Jifuzeni kuishi na siri na private za watu
2026-07-27 09:43:59
10
@tom_kauli :
Jamani tupime, jamani tupimeee
2026-07-27 04:29:30
8
Secilia Masingija :
Mbona Kama ni kweli watoto nyie jamani 🥺
2026-07-27 12:33:58
0
BETH❤ :
siipati account ya huyu dada jmn au kaniblock
2026-07-27 09:20:35
2
user31394011636667 :
sasa nitafanyaje 🙆♀️nashindwa kuelew
2026-07-26 21:18:26
7
user5760981421540 :
Wangapi wanaishi na maambukizi wa wanamahusiano mengi mengi jamanii ni Umakini wako jamaniii
2026-07-26 17:24:02
6
ifunda monster@90 💀 :
na bado mtasema yote ... vp huhusu mwijaku nae😂
2026-07-27 08:56:37
5
milo kwetu :
w umejuaj kam hawaanbii
2026-07-27 10:20:24
1
Likoteho daughter :
Big up Sana sister hood mungu atakubarika kwa hiki ulichokisema 🫡