Mwalim wng popote ulipo hujanfundish hiv me nngefaulu uzembe wako mwalim
2026-08-02 07:16:42
10
_kwevo :
iyo 8 umeipata wapi😂??
2026-07-31 12:50:15
4
miranda-cosovou :
yani ni rahisi sjui fimbo zilikua zinanichanganya🤣
2026-07-31 09:29:30
4
makaveli :
n=8 or -8
2026-07-26 19:07:39
1
Jimmy :
hapo kwenye hii na hii inaisha ndo walikuaga wananiacha sema namba gan na gani zinaishaje na kwann..kama ni kugawanya onyesha namba ipi na ipo zinagawanywa Hadi zinaisha kwa watoto ni very confusing especially wenye akili sana maana wanakuwa wanaeplore Hadi possibilities ambazo hazipo wakat ww unasema hii na hii inaisha..
2026-07-26 12:18:38
2
kinboytz :
shida ya hesabu mfano una elewa vizur maswali Yana toka kama uja fundishwa mfano na maswali yakuwa tofauti
2026-08-01 20:43:42
5
Duke Nataly :
Kesho utufundishe maarifa ya jamii🤣🤣
2026-07-28 19:01:13
5
God’s Favor :
Au nirisiti ule mtihani wangu wa form 4 wa maths 😂😂😂
2026-07-26 13:51:10
7
debitboy :
wazazi tushirikiane na mwalimu tusikwepe kwa manufaa ya watoto zetu😁