@rowarumedics3: Acid reflux inaweza kusababisha hali kama: 🔥 Kuungua kifuani 🔥 Kichomi kupanda kooni 🔥 Gesi na tumbo kujaa 🔥 Ladha chungu mdomoni 🔥 Usumbufu baada ya kula Ili kupunguza usumbufu unaosababishwa na acid reflux, zingatia: ✅ Epuka kula chakula kingi sana kwa wakati mmoja ✅ Usilale muda mfupi baada ya kula ✅ Punguza vyakula vinavyochochea dalili zako kama vyakula vya mafuta mengi, pilipili nyingi na vinywaji vyenye gesi ✅ Kula kwa ratiba nzuri na kwa kiasi ✅ Dumisha uzito unaofaa ✅ Kunywa maji ya kutosha kulingana na mahitaji ya mwili wako Kumbuka: Kila mtu ana vichochezi tofauti vya acid reflux, hivyo ni muhimu kujua chakula au tabia inayoongeza dalili zako. Andika “ACID” kama unataka kujua zaidi kuhusu namna ya kudhibiti na kuondoa moja kwa moja tatizo hili moja moja kwa moja. #viral #fypシ #oman🇴🇲 #trending #HepatitisB