ni mimi hapa nachekwa na madharau ya kutosha 😭😭 ila ipo ck bado sijakata tamaa 🙏
2026-07-27 13:56:55
69
Jeccy :
At 31 yrs ni kid no husband 😭😭😭any time naingia Kwa mausiano yanavujika bila sababu😭😭😭nikumbuke baba
2026-07-27 17:21:05
210
Janelle :
MUNGU naomba unionekanie
2026-07-27 15:18:00
89
Derick Odera :
I will worship Him no matter the situations, He called me by name 😭😭,He chose me🙌🙌🙌
2026-07-27 16:27:17
58
daveertugrul_ :
Mungu yupo jmn Mungu anafanya nyie 😭😭😭🙌🏾🙌🏾🙌🏾
2026-07-27 06:50:38
67
ALBERT 👑 :
majira ya Bwana yakiwadia hakuna wa kukuzuia
2026-07-27 05:07:28
76
Divine deeblessed🇰🇪 :
😭😭this God is faithful, I will never give up
2026-07-27 15:03:06
20
🦋missmaria❤️ :
huyu ni mm kabisa 😌😭😭😭vile mungu amenifanyia hii mwaka pia wewe unayesikia kama umefika mwisho kuna mungu
2026-07-27 17:34:36
137
@KitilaJnr :
Nachekwa me ndo first born, madogo wameoa lkn mm Mungu ingilia kati, nipe rafiki na mke mwema, Naumia at this age of 36, no child no wife yaani🙏🙏🙏
2026-08-03 15:22:59
36
sarah :
Baba namm nikumbuke nime choka najiunga nahuu ushuhuda pia mm nishuhudie mana nime fika mwisho 🙏🙏🙏🙏
2026-07-27 17:48:03
24
Anna Saitabau :
walinipga vta Kila nliempata nikimleta wanamvisha maneno mabaya ananiacha nilpitia maumivu makal sana baadae Mungu akaja kunipa mume nkaolewa kifahar wakasema uyo tasa hazai Mungu akanipa wakike na wakiume wakasema hato dumu kwenye ndoa trust me Nina mwaka wa saba sasaaa Hakika Bwana aliwashangaza
2026-07-30 16:27:06
41
🌹Faith✨🌹 :
our God is too faithful to fail us what He says he is able and capable to do it.....He makes a way where there's no a way....just trust the process and wait for the right
2026-07-27 19:30:25
8
mjukuu wa fute❤️💋 :
Thanks much sister for encouraging me 🙏🙏🙏🙏 be blessed my role model
2026-07-27 06:37:42
18
lawinabeauty1 :
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Na siku moja sitalia tena kwa huzuri bali nitalia kwa furaha nikisema hivi mnavoniona ni Mungu amenitendea
2026-07-27 17:50:49
9
chimamy :
Najua ipo siku nami nitasimama vile Mungu amenitendea maana tunadharauliwa sana
2026-07-30 09:17:02
9
She Is Joya 🩶✝️ :
What A Testimony 🔥🔥
2026-07-26 19:48:39
9
angelamaximo🥰 :
nilipo Kwa sasa nachoka naomba kama siombi nahis kukata tamaaa lakin Kuna muda nkisoma biblia zaburi ya 35 zaburi ya 91 najiona mwenye ulinzi mkubwa sana na furaha na kuona kesho yangu kubwa sana hata kama Sina hivo vyote
2026-07-29 19:29:02
8
Alice is mom ❤️🔐 :
huyu ni mimi kabisa Mungu wetu akifanya ana fanya kwa ukubwa 🔥🔥🔥🔥
2026-07-27 03:06:38
8
💦MomieJay🦋0623....🦋 :
Mungu wetu ni waajabu,, akili zake hazichunguziki mipango yake sio kama ya mwanadamu oooh Lord🙇😭🥹Mungu hapangiwi🙌
2026-07-27 11:25:50
10
Vijora Pambe Ikwiriri 🔥 :
Najiungamanisha na hizi baraka🥰😍 Imefika mahali Nimechoka jaman😭😭😭😭 Ila naamini yupo Mungu … nimekusikiliza hadi nimetokwa machozi😭😭😭
2026-07-27 15:48:47
11
Babra :
Kuna hali ngumu naipitia sasa, lakin bado naamini Mungu atafanya tena kwenye Maisha yangu 🙏🙏
2026-07-29 03:30:15
7
'just call me 'Qn DETACHMENT ' :
I receive my kingdom spouse Jehovah 🙏, you're Yahweh, Messiah, savior,Creator, father all names belongs to you,what God can do no man can't ✌️
2026-07-27 16:39:44
9
kegeraleah :
i'm in the same situation but i still beliver that God is faithful😭😭😭😭😭
2026-07-27 15:31:37
6
To see more videos from user @eng.gladys, please go to the Tikwm
homepage.