Mwaka jana mwezi wa tisa waliniibia milioni moja na laki 2 ambayo nilijichanga ili nimpeleke mama yangu hospital kila nikikumbuka nilimpoteza mama yangu sababu ya hawa matapeli nahisi maumivu makali sana 😭😭😭😭
2026-08-24 22:24:15
72
Junior :
tatizo munawatajia namba ya siri bhana
2026-08-25 15:20:45
11
joycesimon377 :
mimi waliniibia walikopa nivushe elf 42000 sin hata ham nao
2026-08-25 13:56:08
11
Ibu 56 :
ukitaka kusajiliwa laini ni Bora uende duka la mtandao husika lililoko karib na wew, hawa watu uwaminifu ni mdogo sana
2026-08-25 07:01:01
8
Michael :
hata mkewangu alishaibiwa laki 8 na hao wasajiri laini
2026-08-25 12:08:06
5
omydulla_01 :
pata laini bure na vocha bure watanzania tuamke ulishajiuliza laini wanatoa wapi? na wanapata faida ipi? na hizo vocha za bure wanapata wapi?
2026-08-25 12:23:47
6
Soni..tz🌟 :
ajila akuna ndy waibie wenzao c wakaibie selekal kama wanaweza,,, uyo c kijana kabsa nguvu anayo c apambane kialali sema tamaa,,wanaludisha watu nyuma kimaendeleo,,
2026-08-25 12:19:16
5
young D :
kama serikali haitoi ajila vijana wafanyaje na hawana mitaji💵💵💵💵.Gonga like apo na slikali ituone vijana
2026-08-25 09:44:29
9
Jeplas Asher :
Kwani kusajil lain na namba yasil vinausiana wapi wateja wenyewe hamjielewi
2026-08-26 17:19:12
1
ASHILAFU BASHIRU :
uwaaa2 uyoo
2026-08-25 14:28:27
2
THE MOON :
huyu jamaa kama namfaham
2026-08-25 10:44:38
4
🎅 kizzy :
maelezo ya nn kwanini msimchome hata bisi bisi za macho
2026-08-26 07:49:51
2
zysu@hardware plus Tz :
yaani wamemuibia mt milion.4.hawa siwapendi
2026-08-25 06:19:23
1
BINT SAYUNI 🥰 :
mim kwa ushauri wangu naona bora mtu uende uko kwenye shop za mitandao man mtaaan apan kuna dada aliibiwa na nimjane na zile pesa zimetolewa benk yan walitoa kwa nyia ya sim benk yan 😭😭 na ndio yalikuwa mirathi ya mmewe 😭
2026-08-25 13:52:01
3
miss ray :
anafurahisha kma sio kaka ako
2026-08-25 18:58:52
0
user9807009008698 :
daah mawakala bhana
2026-08-25 11:17:08
2
leezabeth29🇿🇦 :
kashaaribu brand ya mtandao wangu aghaa aghaa🤣🤣🤣
2026-08-26 20:37:18
1
LIKWETEKWE75 :
aje apa kwangu anisajilie laini
2026-08-25 12:50:50
2
leopold simon :
jamani sauti😳😳😳😳
2026-08-25 09:01:45
2
Luge Maua :
yeye anatoaje namba ya siri yake
2026-08-08 11:02:36
3
MiriamMaincha :
Mkoa gani?
2026-08-26 08:22:13
1
To see more videos from user @mabere.malale, please go to the Tikwm
homepage.