@atuganilemwakosya: TANZIA💔😭 Tumepokea taarifa za kutwaliwa kwa Mchg. Sylvanus Abel Msuya wa KKKT Dayosisi ya Mwanga, aliyeitwa Mbinguni jioni ya leo Julai 26, 2026 akiwa anapatiwa matibabu Dar es Salaam. Askofu wa Dayosisi ya Mwanga, Dkt. Daniel Mono, amethibitisha taarifa hizi kupitia ujumbe mfupi kwa Watumishi na Wakristo wote wa Dayosisi hiyo na kwamba taarifa zaidi kuhusu msiba huo, zitatolewa kesho. Atumedia tunatoa pole kwa wote walioguswa na msiba huu. BWANA ametoa na Bwana ametwaa, Jina BWANA lihimidiwe 🙏🏽 #Atumedia #jesusisking
wamtumainio bwana wanao uzima wa milele.... pumzika kwa amani, pole wanafamilia, Wana kkkt, baba askofu, wakuu wa majimbo, dayosisi, na kkkt kwa ujumla
2026-07-27 20:02:44
1
11-2-2026 :
mung amlaz mahar pem
2026-07-27 17:00:55
0
Nem Max. ll :
pumnzika kwa amni mchungaji mwema😭
2026-07-27 18:25:57
0
To see more videos from user @atuganilemwakosya, please go to the Tikwm
homepage.