@bbcnewsswahili: Saratani ya matiti kwa wanaume bado haieleweki vizuri katika jamii nyingi barani Afrika. Watu wengi huamini kuwa ni ugonjwa unaowapata wanawake pekee, hali inayochangia unyanyapaa, aibu na kuchelewa kwa uchunguzi na matibabu kwa wanaume wanaoupata. Ramadhan Musa kutoka Dar es Salaam, Tanzania, amemsimulia @marthasaranga uzoefu wake, baada ya kugundulika na ugonjwa wa saratani ya matiti,safari ya matibabu na hadi kupona. - - #bbcswahili #tanzaniatiktok🇹🇿 #kenyantiktok🇰🇪 #foryou #afya #fypシ゚viral

bbcnewsswahili
bbcnewsswahili
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 27 July 2026 09:00:00 GMT
13179
567
16
75

Music

Download

Comments

maggiechris
Kamamaa :
my favourite Dr 🥂🫡
2026-07-27 21:52:59
0
fetty5602
Fetty :
Mtihani ya Allah ni mingi ila waja bado tunajizima data
2026-07-27 20:25:23
7
manondo12
cash money 🤑 💸 :
vyanzo vya saratani ni vingi sana, hakuna nchazo cha uhakika
2026-07-27 10:51:05
5
saadamwadini
MAMASUU :
Mungu atusaidie Waja wake
2026-07-27 11:10:05
2
jmk_2024
🌴 :
Nguo nguo za plastic (polyester) ni kati ya vitu vinatuumiza bila ya kujijua
2026-07-28 07:11:12
0
okomozeman
Okomo Ze Man :
Vyakula ndio shida jamani
2026-07-28 05:38:53
1
kabadexgm
kabadex :
2026-07-27 09:46:09
0
wamalengo
wamalengo :
Mungu turehemu sisi waja wako
2026-07-27 10:02:37
1
ukhtyshery2
Ukhty Shery :
subhana Allah
2026-07-27 09:52:55
0
daudijohnlussingu
DAVID JOHN :
mwanaume anatoa wapi matiti bwana tafuteni jina lingine hata saratani ya kifua
2026-07-27 09:11:59
1
normally_4950
king kora :
Matiti kwa mwanaume
2026-07-27 09:09:37
3
captain_scott099
Caotain_Scott :
mwanaume na matiti tena??😳
2026-07-27 09:13:57
0
To see more videos from user @bbcnewsswahili, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About