@veriafya: Daktari Bingwa Bobezi wa Magonjwa ya Kike na Uzazi na Mkuu wa Kitengo cha Upandikizaji Mimba kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dkt. Matilda Michael Ngarina akifafanua kwa undani kuhusu mabadiliko yanayotokea kwa Wanawake baada ya ukomo wa Hedhi na nini cha kufanya katika Chakula cha usiku cha kilichoandaliwa na Event ya Age go, Julai 25, 2027, Dar es Salaam. Credit: Salma Msangi