kwa polis wa bongo wanaweza hii watu japo. wanaigiza yanatoleaga kweli na hivi ni kwa nini mimi siku moja bhn niliumia sana yaana niliumia na yule mkuu wa kituo mpaka leo nikimuona najiskia vibaya yaani huruma yangu nidhamu zanguu imani yangu vyote kanishushi by the way ilikua hivi nilikutana na ajali bajaji imegongwa na kenta vibaya sanaa bajaji ilikua na abiria wanne na watoto katika ile bajaji walikua wa wili wale watoto walivunjika miguuu vibaya sana yaan unaangalia mala moja wa mama naoo wengine wa mezimia dereva wa bajaji kavunjika begaa nikasimama na kigar cha boss wangu japo kua nilikua nawah nilikokua naenda bas watu walijaa palee nikawa namuuliza dereva katulia kimya kama vile hayupo kumbe wale raia waliojazana pale walikua wanamuuliza ili wampigee bac nikawaambia watu jamani najitolea niwasaidie hawa walio umia niwakimbize hospitali kisha niwah ninako kwenda bc ikatakiwa tupitie kituoni tukachukue pf3 simnajua mtu hapokelew hospitalini bila ya kupitia polis kama mtu kapata ajali bc nikawapakia kufika utuoo polis ananiambia huyo mkubwa wa kituo ety alie wagonga yuko wap nawambiia sijui etu muekeni ndani huyu atakua anamficha mrengwa wa tukio nilirengwa na machozi bira ya raia kunyoosha maelezo nilikua msala umenigeukia mnatufanya tunashindwa kuwasaidia watu watu wengine mioyo yetu haiwezi kupita matatizo bila kutoa msada polis mjirekebishee msiwe mnakurupukaa aaah nilijiskia sana vibaya wallaah yaarabb
2026-07-27 19:50:20
1
netwon1 :
🤣🤣🤣🤣☺️☺️☺️🤣🤣🤣🤣
2026-07-27 19:06:00
1
It's Shadidu :
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
2026-07-27 19:59:47
1
msumbuf :
😂😂😂
2026-07-27 20:32:15
0
To see more videos from user @wanacreate24, please go to the Tikwm
homepage.