uuuh msaada kwenye data jamanii...gb Moja natumia masaa mawili na hamna Cha maana🥲
2026-07-28 09:51:49
4
OP MWALALA🌟BOY🇹🇿 :
like 1000
2026-07-27 19:02:52
0
Elias Bix4 :
Nifundixhe namna ya kufuta accounts ambazo nilikuwa nazitumia zamani kabisa facebook pamoja na instagram ambazo pasword zake sizifahamu wala email zake sizifahamu yaani nilikuwa napenda kubadilixha xana cm hivyo bac kila cm niliyokuw naitumia nilikuwa natumia accounts tofaut kw upande wa ig na fb ko mpaka sasa najikuta nina mrundikano wa accounts nying zenye jina moja tu
2026-07-28 12:24:21
3
hazashy omary :
kwann cm yangu inapta moto xana
2026-07-28 05:32:59
3
GOLDEN LIBRA 💜💜 :
thanks
2026-07-27 15:50:01
2
kingsley20yr1... :
kama una kesha na efootball na TikTok usijalibu kufanya setting yoyote
2026-07-28 17:02:40
1
🤡🤡 :
we baba nataka nifundishe kufuta picha kule kwenywe fail linaitwa Google photos 🙏
2026-07-28 05:55:26
3
manu :
true
2026-07-27 17:23:23
1
Nduwimana Emmanuel :
safi bro naapa unawaza kunasaidia nini
2026-07-27 20:43:02
0
Mr credo😘 :
na vipi kuhusu bando jeh
2026-07-27 17:31:12
3
kabby_luggy360 :
Kwenye iPhone je inakuwaje
2026-07-27 16:40:56
3
@Motisha tz :
uongo
2026-07-28 16:46:17
0
salamuu :
Kwa Mara ya Kwanzaa nimekuelewa
2026-07-28 16:21:15
0
happinesscollection2 :
😔mi n zaidi ya mara 3 woi😔😔😔😭
2026-07-28 01:20:53
0
Jkudeba0039 :
je km nimesahau password ya mili naipataje
2026-07-27 15:49:11
2
inno ⛔ :
broo ebu nisaidie kila siku huwaga nazima background Data lakini zinajiwasha bando linaisha haraka kwenye google pixel 7a
2026-07-28 04:01:47
0
SHAR~KHAN🎇🎆 :
WE UNAFUNDISHAGA WATU WA IPHONE KILA SIKU NA SAMSUNG SIKU MOJAMOJA SIO MBAYA