@tumaini_pr_tv: Tajiri namba moja duniani Elon Musk ametabiri kuwa hela haitakuwa na maana tena ifikapo mwaka 2036. Amesema hivyo katika mahojiano na The Economist. Musk alisema: "Hela haitakuwa na maana ifikapo 2036."' Alifafanua: "Unataka hela kwa ajili ya nini? Unataka hela kwa bidhaa na huduma, sivyo? Unataka hela hasa kwa chakula, nyumba, usafiri na burudani. Basi kama robots na Al zitatoa bidhaa na huduma nyingi kuliko binadamu yoyote anavyoweza kutumia, unahitaji hela kwa ajili ya nini?" #tumaini_pr_tv #tboyliontz #hapaninyumbanikwawote
ufunuo 13 imeeleza kila kitu 😭😭😭 mda sii mlefu YESU KRISITO analud kulichukuwa kanisa 😭😭😭😭😭
2026-07-28 18:25:36
2
fanu🤗🤗 :
atajua yeye mwenyewe
2026-07-28 04:37:32
2
mtili mtilis :
zitapotea kama vocha za kalatasi
2026-07-28 07:10:07
3
IBRAHNATION🇹🇿 :
huko mbali sana wayatoe hata sasahv2
2026-07-28 08:09:21
1
iddi kihiyo :
hiyo ni dalili ya kiama pesa kutokuwa na thamani !
2026-07-28 17:06:15
1
Jcobra :
bora
2026-07-28 21:26:59
0
Six7 :
Kutakua na batter trade au sio?😂
2026-07-28 17:50:12
0
Balton pabllon :
sawa, namimi natabili, tutatumi zahabu
2026-07-28 19:46:47
0
wox :
sio ametabiri ni itakuwa hivo na lazima iwe hivo
2026-07-28 16:16:58
0
donawiser :
🤣 Azigawe pesa sasa .
2026-07-28 18:48:23
0
msukuma mnywamaziwa :
yupo sahihi. njeuri ya marekani imetuchosha
2026-07-28 09:32:05
1
Fred Keneth :
mmmm ngoja tuon
2026-07-28 19:46:25
0
san_keys26😇😇 :
ah sawa tu lwani kuna shido
2026-07-28 17:15:56
0
Ďŏñ mēñđēž Māđōĺĺāĥ :
kwan wenye fedha wanasemaje?
2026-07-28 06:03:41
0
Arish .KJ :
apo aongee na wanaotumia pesa maana uku kwetu mtu mwenyepesa hakuna.
2026-07-28 13:19:22
0
fanu🤗🤗 :
atajua yeye
2026-07-28 04:37:10
0
Elvis gare :
au ndo ile 666 nilio kuzwa nikifundishwa nitakuwepo nasubili nione Kwa macho yangu mwenyewe MUNGU eh MUNGU nione ninavo kuita
2026-07-28 22:38:13
0
user1234577 :
kwa iyo yy kaacha kutafuta au.....
2026-07-28 06:01:00
0
veracity :
pole pole ulimwengu unaanza kuingizwa kwenye mifumo ya ajabu,aiseeee hapa ukiwazingua hawa jamaa wanakufilisi kila kitu kwa siku moja kupitia pesa za mtandaoni.😁😁😁 najua hii text yangu itadumu hadi 2036 mtashuhudia mengi mabadiiko.
2026-07-28 19:21:52
1
pever Tz1 :
TUBAIJUA IYO LENGO TUACHE JUTAFUTA AZID KUA NAZO YEYE
2026-07-28 11:57:02
1
Thekid_fx :
ufunuo wa yohana, mpaka uwe na chapa ,666
2026-07-28 10:30:44
1
KINYWELE BABA B💥 :
hahah angalia maskini tulivyo furai kuskia ivyo
2026-07-28 19:52:58
0
G.MATELEPHONE :
666 code maaana yake itaanza kutumika bila iyo auwezi kupata kitu
2026-07-28 19:54:09
0
To see more videos from user @tumaini_pr_tv, please go to the Tikwm
homepage.