@gameit45: Experience yako ilikuwa aje na mzazi ukienda kucheza ps ?😂😂#relatable #muturaisafruit #childhood

GAME IT🇰🇪
GAME IT🇰🇪
Open In TikTok:
Region: KE
Tuesday 28 July 2026 05:54:18 GMT
25123
3656
40
1747

Music

Download

Comments

cieetu012
cieetu :
That why I bought my own ps5
2026-07-28 21:46:57
0
k3vinnie
🛸Kevinnie♟️🇰🇪 :
Hapa huwezi jua giza ikiingia😂
2026-07-28 07:32:11
87
_.narish_.a
asugo🤍 :
Nilichapwa pamoja na mwenye ps😭
2026-07-28 16:40:18
47
djbrainson
DJ Brainson :
PS nimeguza nikiwa 26 yrs old 😭
2026-07-28 18:10:33
21
matatu_chronicles0
NGANYA CULTURE 🇰🇪 :
Sijui alinionea wapi nimeingia nimekaa nishaanza settings naskia baree ya shingo kuangalia mokoro kidogo hivi ingine ya uso 😂😂😂 weuh
2026-07-28 12:35:29
21
yob_.i
Yob__.I :
Ps2 days 😂😂😂
2026-07-28 22:14:53
0
joyceminahkalush98
joyceminahkalush98 :
bro alichukua 30bob ya mathe bila kupewa akaenda kucheza ps then mathe akampata😂😂😂😂alipiganishwa na hizo vidude ady mwenyewe pamoja kulikua kubaya😂😂😂😂😂
2026-07-28 21:31:25
2
hamzaabdul184
FARMAN ** :
Nishai enda na pesa ya kunyoa huko nikarudi hom nikasema ilianguka 😂😂
2026-07-28 12:07:46
8
supaskrr
Thanos🫩 :
Upigwe FIFA alafu mzazi bado anakugonja hapo nje😂😂😭
2026-07-28 19:20:09
2
ronaldke254
Dual Chromosomes 🇰🇪 :
😂😂😂nilitumwa maziwa kitu 8pm hivi nikaingia hio base tukacheza hadi 9 lakini makarao ndio walitushika. yani kufupisha story mamangu alinikujia kama tuko ready kupandishwa Mariam😂 Nakuru London mamae
2026-07-28 21:34:04
1
kannyjohn3
Kannyjohn :
cjui mbna mimi ilikuwa mokoro akiingia video inakuwanga inakuwanga ya watu wako beach
2026-07-28 13:51:24
1
casketmasters
CASKET MASTERS :
WAKICHEZA IZI TULIKUA TUNACHEZA SIMBI,KAFUNIKS NA KADI USISAHAU KUPLAN KOTO 😂😂😂😂
2026-07-28 14:50:59
1
benjaminkidula
Kiduh :
Lakini Kama mzazi hajawai kupiga huko kwa play station manze huja grow poa 🤣🤣
2026-07-28 19:06:06
0
millionairedamage
🇰🇪 👑DAMAGE🇶🇦 ♣️ :
Heri wewe ni mama mimi dad na mshipi😅
2026-07-28 10:57:06
1
nesh014
_megamurega‼️ :
uzuri sikulipa hio game🤣👍
2026-07-28 19:41:17
0
rufasplays
RUFAS PLAYS :
mm baba yangu niliacha amebook gari akienda nakuru...ata sikua nmekaa chini😂😂😂...niliskia makofi kama elfu moja
2026-07-28 20:45:32
0
midlighttechnologies
Midlight Technologies :
nilifukuziwa fees nikiwa form 2 so instead yaa kukaa kejani nilikuwa naenda base ya PS alafu nilikuwa nimeivisha mbaya so pale kwa loser pay nilikuwa mnoma , so nikitoka asubui narudi majioni , Huyo mama aliniokota war moja game pad niliguza after highschool 😂
2026-07-28 20:52:49
0
enc_trd.s
T¥ :
mii aligoja nimalize kupigwa😂
2026-07-28 18:52:21
0
To see more videos from user @gameit45, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About