@mwl.emilian.katub7: Agenda za maombi ya mfungo day 02 Isaya 51:22 BWANA, Bwana wako na Mungu wako, awateteaye watu wake, asema hivi, Tazama, nimeondoa mkononi mwako kikombe cha kulevya-levya, hilo bakuli la kikombe cha hasira yangu; hutakinywea tena; Omba yule Mungu anaetetea watu akutetee na wewe katika jina la Yesu Na mimi nakuombea Mungu akutetee kwenye kila jambo ambalo unalipitia linalokuleteq machozi Lakini pia jitamkie na kujiombea siku ya leo kwamba kikombe chochote ambacho umekinywea kwa muda mrefu kilichokuletea kilio Hicho kikombe hutakinywea tena katika jina la Yesu USIKOSE SAA NNE USIKU KUPITIA YOUTUBE CHANNEL YA MWL EMILIAN KATUBAYEMO tunaendelea na maombi Hicho kikombe hutakinywea tena