kama mtu anaangalia Tv kwaajili ya kuangalia tu basi atachukua Hisense lakini kama unafuatilia sound, Vision na colours na small details bas utaenda kwa TCL
2026-07-30 13:39:48
8
Mbelwa-vijora :
sisi wa solarmax tunakoment wapi
2026-07-28 20:37:16
6
AMOUREX :
KWEL HISENSE NI BRAIND , ILA CHUMA YA KAZI NI TCL, UNA DOWNLOAD APP NYINGI SANA, ILA HISENSE UWEZI KUDOWLOAD OPERATING SYSTEM YA VIDAA NI JAU , WALIO NUNUA HISENSE WAME YA KANYAGA
2026-07-28 12:37:22
9
ᏢᎫᎷ :
Hisense matoleo yanayokuja Africa ndo nayatumia VIDAA ila yapo matoleo ambayo huku hayaji na yanatumia Google (android) changamoto ni bei zinakuwa na bei kubwa ndio maana Wafanya Biashara hawaleti kwasababu Tv za Gharama zinakaa sana madukani Natumia Hisense U8K ulizia bei yake tena hiyo mi VIDAA sasa ulizia yenye mfumo wa Google..Bei inaelekea kwenye OLED ya Samsung na LG
2026-07-28 23:04:40
2
ping pong :
mbona ipo TCL
2026-07-28 10:20:11
3
Captain_Scott :
hyo vidaa ndio itawamaliza saiv mambo ya kufunga ma dish hatuna ni kudownload tu azam max na dstv stream
2026-07-28 10:56:22
2
Nassor Said :
uko vzr broo
2026-07-28 11:13:37
1
sheky :
tcl
2026-07-28 15:04:25
1
atlas thmis :
nakubali kaka
2026-07-28 09:26:42
2
BODA_MSOMI :
kaka NI naomba ni support nafanya kma haya unayo yafanya ww lakin sina support just hata Ku ni pa air time one day🙏🙏🙏
2026-07-28 08:58:40
2
forcizo :
hata AC pia
2026-07-28 14:11:09
1
williemnyamwezi :
Android Tv ndo mpango mzima TCL moto unawaka
2026-07-28 15:04:38
1
keizzy :
TCL ni tv bora sana. Android inaifanya TCL kuwa very flexible. unakuta umeweka external device kama flash halafu inakataa kusupport format, unaingia playstore inashusha VLC unapiga all files.
ukienda Hisense, hiyo option haipo. ukishakutana na unsupported format basi habari yako ndio imeishia hapo. Tizen (OS ya Samsung) inakubali file format kibao kuliko default player ya Hisense au hata TCL yenyewe.
2026-07-28 18:54:58
2
DARK MODE :
nyinyi mnajuwa vile huku Kenya Hisense ni Trash ikija ni Tv😂 kama sio Sony TCL
2026-07-28 22:51:17
1
Mekant Used Items✅ :
Hisense Kote naona Ameingia Ila wafanyabishara ndo tunajua Smart vidaa bei rafk ko soko pana mno
2026-07-29 22:28:37
0
ZERO :
Hiwezekan
2026-07-28 10:54:32
2
Mr chacha :
Tcl noma sana
2026-07-28 14:22:22
1
Frank Rowland :
weka vizur kwa namna hii NOKIA ilianguka kwa sababu tu WINDOW hawakuweka free app kwa app store wakati ANDROID waliweka free app ikapelekea developer wengi kutengeneza app na watumiaji wakapenda na kuwa wengi na hivyo makampuni ya simu mengi wakaanza kuweka adroid kwa simu zao hilo ndio likawa anguko la NOKIA kwa ufupi
2026-07-28 16:35:36
1
INNOCENT :
shida ni OS watu wanataka android au google mim mwenyewe nishaacha kabisa Hilo tv
2026-09-04 15:15:36
0
call - me qia 369..! :
Tv ni TCL,SONY, LG,SAMSUNG izo hisense sio tv ni kam sunda ao
2026-08-16 15:15:16
0
KISEMEO Africa :
Haier anakuja zaidi ya TCL. nilikuwa na TCL now nipo na Haier aisee 🙌🙌🙌
2026-08-19 12:31:39
0
kindimba boy :
mbn altop ana android
2026-08-12 21:59:01
0
john :
utofauti hapo ni bei tcl bei zao zipo juu ndo maana hisense anauza sana
2026-08-19 07:00:05
0
To see more videos from user @snashtz, please go to the Tikwm
homepage.