@taimediatz: #MICHEZO Msemaji wa Klabu ya Yanga, Ali Kamwe, amesema mchezaji Pacome natakiwa sehemu ya kikosi chao kutokana na majeraha aliyokuwa nayo mpaka yatakapopona ndipo wataweza kuendelea nae katika msimu mwingine. โ๐ฟ @mariamshabanitz #taimediatz #taimediatv
taimediatz
Region: TZ
Tuesday 28 July 2026 10:35:29 GMT
Music
Download
Comments
aisharashidy :
jmn m niyanga lkn hamjamtendea haki je akigoma kurud tena
2026-07-28 13:33:34
0
mwanaa๐ต๐ธ ๐ฎ๐ท :
I love simba but allah amjaalie apone haraka
2026-07-28 14:27:02
0
@Fanuel :
Pacome ni mchezaj wa young African bado
Wamemtoa kweny usajil ili wapate nafas ya mchezaj wa kimataifa atakae kuwa anacheza..
Hujasikia amesema ataendelea kupata stahiki zake?
2026-07-28 12:09:50
147
Mrโsmart :
@Mrโsmart:๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
2026-07-28 13:34:58
1
bless joel :
me niyanga likn sijapend kbx huo sio ugwana
2026-07-28 11:45:34
50
TECHNOLOGIA 365 MEDIA :
kwishaaaa๐๐๐
2026-07-28 17:17:15
0
alibay :
baaaassss
2026-07-28 11:27:31
3
mis mwanya โฃ๏ธ๐ :
daaaaassss
2026-07-28 15:34:56
0
jasexpeditions :
kwa Ile injury hakuna Tena Cha next season mpira ndo basi huyo
2026-07-28 12:11:32
24
addy victor ๐ฆ :
Jaman ndo kusema pacome bye๐ ๐๐
2026-07-28 11:13:43
47
Hulka Mgeni Hulka :
Akipona huyo simba ataenda๐
2026-07-28 19:14:52
5
Chriss_Umeme(NNK) :
Yan umtibu mtu na bado umpe salary season nzimq?? ๐๐๐ Siasa iziii
2026-07-28 12:23:58
6
Dr of chemistry๐น๐ฟ :
Sio mbaya Mungu mwema atapona
2026-07-28 11:17:45
14
๐ฆphetty love ๐ฆ๐ธ :
yanga hawan subra hata kdg me ndo maan siwapendi ๐๐๐๐
2026-07-28 16:42:33
4
ria๐ป :
jamani hawajamtema wamemwacha apone kwanza,sikilizeni vizuriiii
2026-07-28 12:12:58
14
brinnah๐ฅฐ :
muwe munaelewa kabla ya kuhukumu umeambiwa kulingan n afya yake next season hatoshiriki co ndo ametoka kweny team bado n mchezaj wa yanga
2026-07-28 14:31:16
5
mjudodominick :
Huyo nda kwa heri nazijua timu za Tanzania
2026-07-28 12:56:47
7
shedrackkapande :
maamuzi sahihi! ila awepo tu.
2026-07-28 11:50:22
10
Precious Ngosha :
Tunampenda sana tunamuombea kila la kheri ata akitaka tone tone wananchi tupo tayari kutoa.
2026-07-28 11:24:10
10
anny girl :
2026-07-28 11:50:23
5
Miss Kweka :
nimeumia sana
2026-07-28 13:54:05
1
Gracevjhj :
Duu aliyemkata mguu Mungu anamuona haswaaaa inauma sana
2026-07-28 15:27:50
0
choir master :
heading haifanani na maelezo yanayotolewa
2026-07-28 16:30:55
1
J.J. :
nilijua tu baada ya majeraha
2026-07-28 18:10:12
0
To see more videos from user @taimediatz, please go to the Tikwm
homepage.
ยฉ 2021-2026 TikWM. All rights reserved.