@wiriplusedecoration:

wiri pluse decoration
wiri pluse decoration
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 28 July 2026 12:52:08 GMT
71415
2283
84
122

Music

Download

Comments

danielmwandala
DannyThePlanner :
Comparison ya gharama ni muhimu
2026-07-30 10:43:06
9
dionestermwinuka
miss dion :
mimi nimekutaman ila kwa hiyo michambo mimi naogopa mim fund anayeongea sana namwogopa sitaki niwe site na fund nishindwe kumwambia apa ikiwa hivi je hapa napenda hivi
2026-08-10 08:49:51
1
hemedykipande
KP CHIMBO Nails 💅 :
chaliyangu tusemee asee nikweli daa
2026-08-04 07:57:28
0
mkush190
mkundanohesron :
fact brooohh
2026-08-04 12:45:23
0
abuudharibnjunaad
Abuu dhary :
Kweli kabisa kuna mmoja alinipelekesha mwisho wa siku kaingia mitin sasa hv kupiga hesabu sh 50000
2026-07-29 11:01:40
1
fatumasemponda
Fatuma Semponda :
kabisa ndug mabos wanatabu sana
2026-08-01 11:37:48
1
dancan.namayengul
Dancan Namayengula :
Duuuuh Aise mm mmoja Kati ya hao yamenikuta Sana mm ni fundi umeme aisee inauma bro
2026-07-30 20:27:06
0
user4804599511566
fahad :
fundi unapatikan wapi mim nipo zanzibar nataka kazi nimeipenda
2026-07-29 17:03:24
0
williamngogo728
williamngogo728 :
nimependa kazi yako unapatikana wapi
2026-08-08 09:01:24
0
ommy.athuman
Ommy Athuman :
nikwel mkuu humetish san
2026-07-29 06:01:30
0
marshed653
marshed :
fundi upo wapi
2026-07-31 07:26:33
0
youngenius15
Technician :
Kwa heshima kaka 🔥
2026-07-29 07:59:04
0
hasaniamiry
Hassan paints kilimanjaro 🇹🇿 :
kali sana mkuu✌✌
2026-07-31 19:32:41
0
user3079719235152
muya :
weka namba kaka
2026-07-29 02:58:19
0
arifbathigili
Arif Bathigili :
fundi weka number yako
2026-07-29 15:45:31
0
faithofpeace
Fape :
Shida bei jamani,Kazi moja tofauti ya bei mpaka million,Tatizo mafundi wapigaji hasa hawa unapewa namba na mtu huyo naye anataka cha udalali fundi badala ajiongeze mwenyewe huko wanashirikiana kukupiga
2026-08-04 10:15:57
0
khamis7314
khamis :
kwani kuna shida gani watu wanalinganisha gharama za ujenzi kutoka fundi mmoja kwenda mwengine sema chamsingi lazima ulipwe gharama zako kwa sababu mpaka kufika site umetumia gharama
2026-07-31 08:55:54
1
kelvinmakweta
KELVIN MAKWETA :
kaka mm nimependa kazi yak ila mungu akijalia nitakuita nik pwan tu ila bado naweka saw sunajua maish yetu watu wa chin tunaungaunga kwnz kikubw uzima
2026-08-21 10:17:11
0
nyariuhyoma3
nyariuhyoma :
huwa tunalipa hela ya site visiting bana wee
2026-08-15 04:45:06
0
dionestermwinuka
miss dion :
mim kuna fund nilimtumia nikiwa mkoan mbeya alinifanyia finishing yule fundi yuko social mcheshi yan nikienda kushinda site had sichok anakushauri mstaarabu ila mjanja yan mnacheka ila anakushawishi kimojakimoja kila siku nikajikuta hela ya aluminium yote nimepa yy kumalizia decoration palipendeza sawa ila sikuplan alininyoosha😂😂 saiv niko Dar nawazaga nitakuja kumpata kama yule watu wa Dar wanaongea kama wananichamba huku wanahasira mmm
2026-08-10 08:54:25
0
abu_dhakar001
Abu Dhakar :
tatizo mafundi wengine wanakuwa na tamaa, anakutajia Bei kama anataka kununua ndege hlf mwengine anakutajia Bei simple sana na kazi ina pendeza mpk unamuongezea posho mda mwengine mafundi mnayataka wenyewe, mm ni muhanga katika ucmamizi wa ujenzi
2026-08-18 05:14:40
0
malhabaally
Malhaba Ally :
fundi naomba namba yako
2026-08-08 20:13:50
0
msumitza
Msumi Shabani :
sema unapatikana wapi tukupe kazi acha malalamiko
2026-08-05 06:56:30
0
yusuphmpenja
engineer :
ukitaka kumtuma kazi fundi ulizia kwa watu sahihi
2026-07-29 03:33:14
0
To see more videos from user @wiriplusedecoration, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About