@bongofive: Mwijaku amefunguka kinachoendelea kuhusu Dotto na Cherry kwenye mitandao ya Kijamii huku akiwa upande wa Dotto Magari kwamba Cherry amekosea sana na sio sawa kuzungumza Afya ya Mtu yoyote mitandaoni Video Nzima ipo katika Akaunti yetu ya youtube ya Bongofive Imeandaliwa na @abbrah255