kwahiyo mtu anaweza kupewa mkopo kwa picha ya kwenye simu tu
2026-07-29 13:01:26
8
Tikrit :
uongo hakuna kampuni inatow mkopo kirahisi ivoo huo ni uongo Dunia nzima tungekuw tushatapeliwa kwa mtindo huo
2026-07-29 14:24:49
13
Alick Barack :
Kumbe Benk wanakubali photocopy ya kadi wala sio kadi original
2026-07-29 20:31:50
4
Robby one :
kuna watu wana weza bro🧐
2026-07-29 06:48:55
4
legendary sachy :
Hakuna kitu kama hichoo
Ela yoote mtu lazima awe physically pale
2026-07-29 18:31:08
5
marryagustini :
Hii nistori tuu
2026-07-29 17:23:09
1
Bahati John masanja :
pepo la mtu linakuja kiligana naufahamu wako
2026-07-29 19:13:28
2
Njuka jinasa :
NMB hawana iyo system itakuwa hyo benk nayo ilikuw ya kitapel tu
2026-07-29 18:07:57
3
user :
ni uongo tu uwo
2026-07-29 16:12:37
1
Danho :
Kwanza ili ukopee gari lazima title holder ibadilishwe kwenda kwa taasisi wanaokukopesha
2026-07-30 12:50:15
2
modest kayombo :
Hio benki inayofanya shughuli kwa kushirikiana na matapeli inapaswa kuwajibishwa
2026-07-30 11:09:39
1
Ramadhan :
kwanza records zote zipo ktk mtandao
2026-07-29 18:54:32
1
Deestar deeclassic :
Doh hiyo sikuzem muhimu nikumuomba Mungu akunusuru tu
2026-07-29 18:19:55
1
GreJoste :
ndo nachoka mimi na saini inakuwaje
2026-08-04 17:40:35
1
Nyota Cleaver :
Kama sijakuelewa yani kop ya gari bank wakupe ela 😂😂😂 broo emh naomba ibaki story
2026-07-29 20:01:53
3
Ayubu Baraka616 :
kwanza saini zake watu wakaribu na namba zao , huo ni uongo
2026-07-29 14:13:52
4
Jackson Kilika :
najua hii ni content. lakini kuna chakujifunza
2026-07-29 10:01:21
3
amodz☠️ :
acha ibaki stor lkn hakuna bank inayotoa mkopo kirahisi hivyo bila muhusika kujaza fom na kusain
2026-07-30 12:07:25
2
fredy :
uongo hawachukui copy ya kadi
2026-07-29 14:33:54
1
user7559867231335 :
Ushahidi namba moja ni mtu kufika Ofisini na taratibu zingine kufuatwa, lazima atoe lesen ya biashra, alipe Bima ya mkopo, kama ana ndoa atoe cheti cha ndoa, na Mengine mengi tu. Mkopo rahisi hivyo labda wa Makopo.
2026-07-29 18:15:52
1
Silencer Mauly :
Khaa.... yaani hela yote hio itoke ivo tu kirahisi...kweli... ? Aaaweee.. sign .... Bank hio ni wizi kuanzia Management mpaka msafisha Choo...😅😂🤣
2026-07-30 04:58:04
2
user :
sasa benki ndo wametapeliwa na benki kwann watoe mkopo bila kuona gari
2026-07-29 16:12:25
1
love boy :
hayo makosa ya bank kwanini wanakubali ushahidi upande mmoja Tu bila ya kuitwa yeye bank huo uzembe WA bank haina high security
2026-07-29 18:00:34
1
ABDALLAH KIWINGA :
sain hakuna bana iyo sio
2026-07-29 09:51:43
1
MARKRISE ELECTRICAL :
hiyo ni Bank ya matapeli lakini Bank kama NMB NINGUMU SANA KUTOA MKOPO WAAINA HIYO
2026-07-29 16:34:03
3
To see more videos from user @donrugi, please go to the Tikwm
homepage.