@softena100: kwa bidhaa za softena karibu sana clinic yetu iliyopo mwenge na airport pia tuna mawakala mikoa yote kama una changamoto ya ngozi karibu tuna bidhaa nzuri mno
Mimi ata kuzalisha sitaki kama sijaji pata sitaki watoto waje wapitie maisha nilio pitia mimi
2026-07-29 18:59:46
73
mr khalf :
me naowa bhana vyakuambiwa changanya na zako 😂😂😂
2026-07-29 19:07:06
32
Charls Makuku (Makuku's) :
unabinti nijalibu ilo???
2026-07-30 04:56:19
12
moralskills :
Kweli wewe ni Mtu Dada Hongera sana kwa ushauri mzuri.
2026-07-29 17:54:34
16
mboyios :
kuna mwanamke kanidhulum binti yangu salaam zimfikie
2026-07-30 09:49:48
6
Saidi Mkanga :
Umependeza Sana Mashallha Vipi Umeolewa Nimevutiwa Namacho Yako Mazuri Sana
2026-07-29 18:30:17
6
Sharifu Ramadhani :
Hayo yamenikuta sitaki hata kusikia
2026-07-29 17:47:56
7
official_edymoney27 :
umeongea maneno makubwa Sanaa mpaka imebidi nikufollow
2026-08-07 09:54:40
1
roma :
Uyo ni mimi nishamaliza,na watoto wawili kilamtu na mamayake
2026-07-29 21:06:09
5
FAN DAXTz🇹🇿 :
mitano tena
2026-07-30 05:53:53
4
Modymzurii🇰🇪 :
imeisha hio 💯💯
2026-07-29 19:42:08
6
Mr. wisdom 🕊 :
mitano tena👋😆😆
2026-07-30 05:54:33
4
CRT WIZARD. :
ahsnte sana
2026-07-29 23:15:08
3
iammilestz :
Bhaaaaaaaaaasi🔥😂🙌🏾
2026-07-30 10:15:53
3
47 Yona 🇹🇿🌴💥 :
😳😳😳 mitano.tena.
2026-07-30 08:30:49
4
Huseni Kidava :
sasa dada.ushauli wako mimi kuna mchumba nipo nae hapa toka amefika ana wiki2 kuludi kwao hataki nami nimepanga chumba kimoja hali yangu mbaya sina hela nayeye kang'ang'ania kwangu. kanizidi umri miaka5 jamani nifanyeje???
2026-08-01 09:28:22
0
Steve Mauzo :
WEWE DADA 🥺💋🥰💞🙏🙏🙏🙏
2026-07-30 04:51:41
3
meek As :
Fanya unilee😂😂
2026-07-30 08:28:07
3
fasco :
is not idea
2026-07-29 18:29:35
4
Denis Ladison :
kumbe sijachelewa acha nibaki na awa w2tu
2026-07-29 21:41:32
3
Triple Jay :
Nakubali sna fikra yangu kabx✌🏽✌🏽❤️
2026-07-29 23:23:03
1
bf suma top leader :
kuna ukwel flan apa
2026-07-29 16:36:30
4
Adam :
Jesus Christ I can’t belive what you just said subha Allah
2026-07-29 20:46:18
4
user737337727272 :
washauri mmekua wengi mpaka mnatuchanganya😂😂😂😂
2026-07-29 21:16:03
2
Mark :
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏Upo sahihi sana.
2026-07-29 11:35:36
1
To see more videos from user @softena100, please go to the Tikwm
homepage.