@drmkombozi: yapi maoni yako Leo? #WellnessLifestyle #fypage #kansa #esophagealcancer #ProstateCancerAwareness

MKOMBOZI
MKOMBOZI
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 29 July 2026 11:10:16 GMT
74383
1574
92
412

Music

Download

Comments

yusuphmdaki6
Yusuph mdaki :
Thanks
2026-07-30 02:30:26
0
aliciakis01
Alicia ✨️🇰🇪 :
Daktari please repeat in English. This is very educative lakini kiswahili kingumu jameni
2026-07-31 15:52:39
0
emanuel.anthonymu
Emanuel Anthonymushi :
amen Asante 😊
2026-07-30 04:15:42
0
mr.palma123
mr.Rover :
kansa ni pepo ishindwe kwa jina la yesu
2026-07-29 19:46:11
40
www.tiktok.comtitus3
Titus :
Umeacha jambo la muhimu sana, thibiti mawazo na ondoa stress na mizigo ya mawazo na kuweka imani yako kwa Mungu
2026-07-30 04:44:04
14
jackline.mackline1
Jackline Mackline :
Kansas kaa mbali na maisha yangu
2026-07-30 15:25:01
4
adivera.philbert
ADVERA STYLE AFRO :
asante mtumishi Mimi naanza Kesho Asante 🙏🏾
2026-07-30 20:51:01
2
._mutheu_
🦋Stella🦋❣️ :
Asante doc🙏🙏
2026-07-30 06:35:34
1
user567869505
user911123 :
kiswahili kigumu daktari..ifanye na English..asantie
2026-07-30 14:48:05
3
mwanaisha8338
Mwanaisha :
ssante kwa kutuellimisha Mungu akubariki
2026-07-30 01:27:38
2
user6960166228249
user6960166228249 :
sukari ni moto, wali mchele
2026-07-30 08:38:01
1
user1561474188261
user1561474188261 :
kama mtu ako na ulcers atafunaga pia?
2026-07-31 11:44:17
0
user3220639505594
odetha uzima :
Amina .mi nina shida ya Hepatatis B naweza funga?
2026-07-30 18:02:37
1
user24851909958390
vaileth :
asante kufahamu
2026-07-29 18:19:11
1
user7744999184842
j :
asanter kaka
2026-07-30 01:49:07
1
palvin.christian
annabell outfit :
Asante kwa elimu
2026-07-29 18:55:27
0
user1287148140403
expod :
Asante kwa mafubzo yako Dr
2026-07-30 07:50:34
0
altaf.osman222222
altaf Osman Suleiman :
Mm nina cancer na nimetibiwa india na nilimuuliza daktari wangu ambae ni bingwa.. kuh sukari akaniambia kama sina kisukari basi nitumie tu kama kawaida ila nisizidishe kupitiliza akaniambia ki science hawajathibitisha kama sukari ina madhara kwa mwenye kisukari.....ila mm natumia sukari kama kawaida na nashkuru niko vizuri....
2026-07-30 03:39:02
0
luqmanah11
luqmanah :
kwaufupi fungeni mupate afya
2026-07-30 10:21:16
3
naseery_group.00
Mr Naseery.00 :
ahsant kaka
2026-07-29 19:41:27
1
fkallethodi
faisal :
Asante barikiwa
2026-07-29 14:28:03
2
user4810015570701
HK :
vipi kuhusiana na kansa ya kurith
2026-07-30 06:06:23
1
ashura.bakari4
Ashura Bakari :
kwakawaida binadamu unatakiwa uwe nauzito wakiasi gani
2026-07-29 20:56:57
0
karungu.2023
user9579371939915 :
Aksanti'kaka'kwa. machauri, ubarikiwe saana
2026-07-29 21:13:08
0
To see more videos from user @drmkombozi, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About