@veriafya: Akizungumza katika Chakula cha usiku cha kilichoandaliwa na Event ya Age go, Julai 25, 2027, Dar es Salaam, Daktari Bingwa Bobezi wa Magonjwa ya Kike na Uzazi na Mkuu wa Kitengo cha Upandikizaji Mimba kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dkt. Matilda Michael Ngarina anaeleza kuwa kukoma kwa hedhi (Menopause) ni hatua ya kawaida katika maisha ya mwanamke, ingawa hivi sasa wanawake wengi wamekuwa wakiingia kwenye hatua hii mapema zaidi kuliko zamani. Anasisitiza kuwa madhara makubwa na ya hatari zaidi yanayotokana na kukoma kwa hedhi ni kuvunjika kwa mifupa kwa urahisi kutokana na kupungua kwa homoni ya estrogen, hatua inayoadhiri ufyonzwaji wa madini ya kalkiamu (calcium) na Vitamin D. Ili kujikinga na matatizo haya, anawashauri wanawake kuwa makini na mlo wao kwa kula mara kwa mara vyakula vyenye afya na madini ya kalkiamu kama vile mboga za majani fresh, matunda, maziwa, na supu za mifupa pamoja na kupata mwanga wa jua kwa ajili ya Vitamin D, badala ya kutegemea virutubisho vya vidonge pekee.
Veriafya
Region: TZ
Wednesday 29 July 2026 13:00:07 GMT
Music
Download
Comments
Josphine Kazilika :
Asante DC🙏
2026-07-30 16:34:52
1
Angela Blessing :
Thank you Dr 💞💞💞💞💞💞💞💞💞
2026-07-30 09:38:39
0
user4621796608795 :
asanteee
2026-07-31 04:34:29
0
1234bora1 :
Thanks
2026-07-30 13:57:42
0
Gasper :
Dr.Ngalina,one the best Gynecologist we have in our country..endelea kutuelimisha daktari
2026-07-30 08:00:40
2
elitrudaritte :
next Dr
2026-07-30 02:31:11
0
Vasity :
Badirisheni mfumo ya vyakula , lkn pili ishini kwa makusidi ya mungu
2026-07-29 19:50:30
12
lay :
siamini kabisaaa hii kitu au na mm ndo yenyewe make ati hii nabisha 😂😂36
2026-07-30 00:29:43
3
Carolyne Mungwa :
mm nime vunjika mguu nina mika 50
2026-07-30 06:04:11
1
Nasreen :
Mmm ngoja kesho nikanunue supliment za calcium na zink na vitamin c
2026-07-30 19:39:36
1
Happy William :
dr wangu mungu akuweke
2026-07-30 17:20:41
1
UmmLuqman :
shukran sana Dr. Mimi imekata miaka 5 lakini sasa inakuja kidogo kidogo kila siku jee huwa Ni inasababishwa na niini?
2026-07-31 11:24:56
0
Food&Pastries Zanzibar🇹🇿 :
Pro tip: wanawake bebeni uzito gym. Ni zoezi muhimu sana kwenye afya ya mwanamke na mifup. 🙌🏾ukiwa kwenye 20s huko anza mapema kujipenda
2026-07-30 09:41:03
2
Eric Swai :
Tunashukuru sana kwa Elimu kubwa.
2026-07-30 17:35:59
1
Alice Kileo :
Asante dr
2026-07-30 09:18:25
1
user8126245942481 :
Nakuelewa sana doctor 🙏
2026-07-30 06:10:19
1
Nasra Mohammed449 :
Dr umenifanyia operation asante sana nakushukuru
2026-07-30 15:58:09
1
juakali first lady :
thanks
2026-07-30 09:49:23
0
Afua Lusigi :
Asante sana Doctor
2026-07-30 04:42:16
1
user5209181786001 :
Asante doc
2026-07-30 03:14:24
1
pendopaul51 :
Dr tunaomba namba tunamaswali mengi yakuuliza natukombali tunakupataje
2026-07-30 08:21:49
0
Rachel :
mamaeee
2026-07-30 12:43:00
1
blessed one :
Mungu utusaidie
2026-07-30 11:34:28
1
John Kagheni. :
ubarikiwe kaa mafundisho
2026-07-31 01:45:46
0
mwanahamisimzira4 :
Dk nashukur kwa ushaur I sana
2026-07-30 21:34:24
0
To see more videos from user @veriafya, please go to the Tikwm
homepage.