@ckhidinzy: hawa jamaa wanazimaga ving'amuzi ety.๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

mr irizar i6s
mr irizar i6s
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 29 July 2026 14:20:04 GMT
17550
1196
106
10

Music

Download

Comments

beel_bion
๐ข๐ญ'๐ฌ ๐›๐ž๐ž๐ฅ :
for what?
2026-08-02 18:30:56
0
freddierhymz
freddierhymz :
hizo chuma ukipanda weka ear pods masikioni afu piga usingizi, ukiamka hapo ni either upo stendi au kwa muumba ๐Ÿ˜€
2026-07-29 21:30:41
49
kagurujr1
zombie :
wanazima ndio na kuwasha tiktok๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
2026-07-29 14:30:10
4
sal__1987
Mpinga_aL Capone :
sio utani izo chuma zinafuta 120 kirahisi kabisa...nilipanda Moja ya Tunduma acha tu kufika salama ni mapenzi ya Mungu
2026-07-29 17:09:17
9
kelvinsanga217
Kelvin Sanga :
katarama ndio michezo yake hiyo.... ndio maana hata ligi yake na newforce haina mashibiki wala hamsha hamsha kipindi anaanza eti anafika mbeya saa nane na madakika alafu Dar katoka saa nane na madakika alafu newforve inafika saa kumi kasoro au saa tisa na imetoka saa sita mchana.... unajikuta2 ni vitu haviwezekani kama2 ilikuwa inafuata sheria
2026-07-30 12:39:07
1
user8102441636108
nathan ngailo :
masafara ya mbele akuna kuchek na barabara
2026-07-29 23:29:43
2
emmajr00
Emma :
Zina gusa 100+ hizi sabb gari ikitembea 85 inapitwa vzr sana
2026-07-30 07:19:14
1
intelligenceofficer09
Mamy is here๐Ÿฅฐ :
Akaamua kupita katikati yao nร  akaamua kwenda zake
2026-07-30 03:38:04
6
stanleysanga356
lumulieli :
huoni u
2026-07-30 04:11:30
0
user121044030497
josefu lesanoi molely :
umeme unatisha๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚โ˜บ๏ธ
2026-07-30 10:39:18
0
officialkitonga
ROAD LIFE๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ :
imeenda EMZ ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ถ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ถ
2026-07-30 07:05:55
0
dully_khan1
dully_khan1 :
ao boss kawapa uhuru kikubwa usalama kwa abiria na bus zima๐Ÿฅฐ
2026-07-29 15:52:40
0
mr.morefunny1
๐Ÿ‘‘โœจ ๐ƒ๐ž๐ž ๐๐ซ๐ข๐ฆ๐ž ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ’Ž :
hadi madishi wanazima
2026-07-30 08:24:42
0
babagif
BABA G :
bado hujasema๐Ÿ˜‚
2026-07-29 14:26:43
0
wilytza
Maro The Engineer ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ป๐Ÿ‡ฆ :
Hiyo ishu huwez amini msimamiz na mtoaji ndo vijana wake wanaweka sawa hivo vidude ikiwa 100+ kinaosoma 85 ndp mana unaweza shika simu speed 110 na hakilii
2026-08-02 15:32:13
0
nazary_7
Nazary_7 :
maswal gani unauliza mkuu
2026-08-03 08:10:06
0
tumainic1
Tumain๐Ÿ—จ :
umeme
2026-07-30 20:25:27
0
operator.kennyone
Operator Kennyone :
hiyo chuma ukipanda ni noma ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
2026-08-01 21:47:42
0
yusuph.mohamedy
yusuph mohamedy :
Mimi nishapanda ally aise wale jama wanazima maana sio kwa mwendo ule tulitoka dar saa tatu kwanza tukaingia dodoma saa saa tisa usiku yaani ni hatar sasa hizi basi allys na katarama ukipanda jiandae kuumia sana
2026-07-31 15:51:17
0
johnson.jonalhan
Johnson jonalhan :
kwa heshima za duka
2026-07-30 20:49:50
0
wilonderby
แดกษชสŸแดษด แดแด€sแด›แด‡ส€ :
yaaani ukiambiwa Yuko hapa ukiangalia hayupo ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
2026-07-31 10:49:17
0
vanny.vance
Vanny Vance :
huu umeme ishia kuuona hv TikTok ila sio ukiwa ndan ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
2026-07-31 10:22:11
0
To see more videos from user @ckhidinzy, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About