Ikitokea swala la kumchangia apate dhamana weka hapa, tuko tyr kumuokoa genz mwenzetu ni harakat tu aisee
2026-07-29 22:08:27
437
𝐃𝐉 𝐃𝐄🇹🇿🇨🇦🇺🇸 :
familia wazembe sana Kwa mfumo wetu huu wa samia mtu anafungwa myaka30 dah washikaji changeni milioni5 ndugu wa mama wachange milioni 10 ndugu wa baba wachange milion10 Milioni 25 anatoka vizuri
2026-07-29 20:20:36
118
🌚. m born :
My name kumbe daa so sad😳
2026-07-31 05:30:47
0
Mwamba Alley :
niulize mimi hio
2026-07-31 14:28:16
0
IRENE@BEAUTY SALOON❤️😍🦋 :
Real appreciati him🥰
2026-07-31 10:19:46
0
Mweusi :
Daaah uyu jamaaa simfaham wala nin lakin dah nimeona ile taarifa imeniumaaa sana sababu mshikaji ni mpambanaji wala haibi cha mtu Allah ampe wepesi naimani atatoka tu
2026-07-29 17:35:30
116
Bashir257 :
Kam alikuwa na myaka 20 atatok akiwa na 50 daaah 😭😭😭💔
2026-07-29 19:35:31
52
itstasha_80 :
Me kaniuma sana yan,wanatufunga vijana wakati tunajitafuta..wanaacha wanaotunyonya,hii nchi miyeyusho sana..30yrs km kabaka vile dah