@dw_kiswahili: Ukiiona bendera ya Tanzania leo unaweza ukadhani ilikua hivyo tangu mwanzo, lakini ukweli ni kwamba kabla ya rangi hizi nne unazoziona sasa bendera hii ilikua na rangi tatu. Leo tunakupitisha kwenye mabadiliko hayo. #DWTunavuma #vumakwakishindo #tanzaniantiktok🇹🇿 #civic
hakuna rangi inayoitwa NJANO kwenye bendera ya Tanzania bali ni rangi ya DHAHABU ambayo ilikusudiwa kuwakilisha madini tuliyonayo nchini refer to National Emblem Act
2026-07-29 17:09:34
5
Elimika :
kumbe tanganyika hawana bahari?
2026-07-29 18:33:30
3
Munttary Sulley :
🇹🇿🇹🇿 Tanganyika Nzurure
2026-07-29 18:49:58
3
HII NDO DUNIA YETU :
iyo njano inamaanisha nn
2026-07-30 03:49:20
0
Afsheen Rahim :
😂😂😂@
2026-07-30 07:29:26
0
Prince leo :
2026-07-29 17:17:26
1
Dino :
huyu mtangazaji Anastasia nani
2026-07-29 21:19:29
1
koku jj24 :
bendera yetu ya zaman ilikuwa nzur
2026-07-29 17:55:48
2
bahati isai mbega88 :
mie naijuwa
2026-07-30 06:49:04
0
Mr.twite :
hatuna rangi ya njano kwenye bendera yetu,tuna rangi ya dhahabu
2026-07-29 17:56:04
2
mom mina 💦💦 :
mashaallah
2026-07-30 05:08:32
0
nicolasjclintongabone :
Siyo Njano ni DHAHABU
2026-07-29 22:45:53
1
Mr Gabriel :
nimependa rasta zako
2026-07-30 06:03:43
0
Eu sou maconde de t'nhica :
viva tanganhica
2026-07-30 06:22:26
0
Ahmed Aleyy :
umetusanulia vzr
2026-07-30 00:36:57
0
A Ibrahim :
Bendela ya Zamani Ilikuwa Mbaya
2026-07-29 19:24:55
2
kaka Laurent :
rangi za yanga🥰
2026-07-30 01:38:24
0
rashidmnemo :
tanganyika hawajpt uhur mpak leo nandman hawan at bendera mbon sis zanzibar tunay yet
2026-07-29 18:04:31
0
vikram :
watanganyikaa hawaitakii nchii yao
2026-07-30 05:26:35
0
ZEY colletion 💐💐🥀🌸🌺 :
Bc hya😂
2026-07-30 06:31:20
0
To see more videos from user @dw_kiswahili, please go to the Tikwm
homepage.