nikweri dada hujakosea hayo mambo hapo anaweka mazoa
2026-07-29 19:16:09
2
Joe :
Dada u're right mfano kama mimi mke nampa uduma zoote,kuna kipindi mke wangu aliniomba kama mala 3 tumsaidie kijana mmoja ambae alikuwa ana maisha magumu nilikataa baada nikakubali,baada ya mda nilianza kupata habari za ujinga wa mke wangu nilifuatilia nikakuta kuna mwanaume ninaemjua alikuwa anakuja kwangu wakati nikiwa kazin ulitokea ugomvi kati yangu na mke na siku iyo nikaamua kumfukuza uyo kijana,zilipita siku nyingi lakin mke wangu alianza kubadilika kitabia akawa na kiburi ananijibu ovyo mala twende kwa baba tukaachane nimechoka aya maisha nilivoona ivo niliamua kutumia ela kumfuatilia,niligundua mke wangu yupo kwenye penzi na yule kijana ambae ni muhudum wa bia bar aliyeniambia tumsaidie na mpaka nilienda nikawafumania.
2026-07-30 01:17:55
0
Njuga :
👍👍❤️❤️💯💯
2026-07-29 21:27:18
0
To see more videos from user @asheli_r, please go to the Tikwm
homepage.