hivi elf 35 ya Zanzibar ndo hii ya huku bara?? maana watu wanavyoliaga wametoa elf 50 hawajapata kitu najiulizaga sa mbona huku unaweza kuchangia laki na usiende ukumbini afu shega tuu.
kw hali inavoend hii mwish tutapew viwanja umu maholin
2026-07-30 08:26:47
11
T.shop pointer :
mnaona sifa wenyewe maisha tunayqfqnyq magumu kwa vitu visivo na maana tubadilikeni ugumu tunauleta wenyewe wa maisha.
2026-07-30 11:03:21
5
ummusummaiyyah :
hamjui huwa Mtu anaamua kutoa bajeti yake zaidi piga hesabu kanunue kibegi kanga kisinia alaf uone ni sh ngapi sema mwenye shughuki anaamua kuwafrahisha wageni ila sio kwa bajeti ya 35,000
2026-07-30 04:11:07
9
Bella artist :
Mnawaumiza Walt’s 50 wakapt soda😅
2026-07-30 14:10:09
2
Nasreen moh'd :
Siku mmoja Nilienda dukani kwa rafik yangu anasema kuna watu wameenda kuchukuwa vitu vya milioni 8 bado milion 4 wakamwambia kuwe watatunzwa asubuhi watarejesha Mpk Leo hawajaenda kumpa hela zake kujithalilisha tu
2026-07-30 05:25:10
14
ummybachu57 :
mama kajipangaaaa
2026-07-30 10:53:47
1
ima :
kajitahid
2026-07-30 05:01:05
2
suleiman driver taxi zaznzibar :
hamkomiii na nyieee😁😂😂😂😂😂
2026-07-30 08:27:33
2
eveloly🍭 :
mbona mie sijawahi alikwa hizi harusi pamoja na nimekaa zanzibar miaka yote hii 😩😩😩😩
yaani wazanzibar jamani ,kwa hiyo ukichangia elf 50 hata km unaumwa au umepata shida lazima uende kufudia hela yako, mbona elf 50 kwa dar ndogo sana hiyoo mtu xnachangia mpk laki na haendi huko kwenye shughuli kuweni na Imani basi
2026-07-30 11:57:39
1
cake tools🎂 :
sasa faida yake nini
2026-07-30 10:37:48
1
reem :
ila jmn me mbahili atar arus naenda kwenye akdi tu ayo mengne soyangu
2026-07-30 11:17:52
1
Baby_Dii🦅 :
sifaaaa
2026-07-30 08:08:00
1
Fatma Binti Mrisho :
natamani kualikwa kama hii
2026-07-30 06:46:48
3
lunya :
kawaida Sana
2026-07-30 04:03:37
3
To see more videos from user @ajahaezmat, please go to the Tikwm
homepage.