@mifugo_podcast: 🐄 MAZIWA SI MBADALA WA MAJI KWA NDAMA WAKO. > Maji husaidia tumbo la ndama kukomaa mapema na kumsaidia kuanza kula mapema na kuwa na afya nzuri mda wa kumuachisha kunyonya. > Maziwa na maji vina kazi tofauti kwenye mwili wa ndama > Imani ya kwamba maji si mazuri kwa ndama si ya ukweli #mifugo #ufugaji #mifugotz #ufugajiwakisasa #daktariwamifugo