@terminatorjr2: 🦂ANANYAMAZA NA KUJIONDOA💣 Haanzi kupiga kelele.Ataacha kuingea na wewe kabisa.silent treatment yake ni kali kuliko matusi.Anakupa baridi baridi. 🦂KISASI CHA KIMYA Mara nyingi hasira yake haitoki mara mojaanaipanga.Anaweza kukufanyia kitu baada ya wiki mbili au hata miaka 10 ili akurudishie.Anadema "I NEVER FORGET ,I JUST FORGIVE LATER” 🦂ANACHIMBA NA KUKUMBUKA KILA KITU👀 Ubongo wake unahifadhi kila neno ulilosema miaka 3 iliyopita😂Atskukumbusha midtake ndogo ndogo ulizowahi kufanya.kumbukumbu yake ni hatari wakati wa hasira. 🦂MACHO YA NGE’ Atakukodolea macho .Hayo macho yanakuambia "nimekuona"ni ya kutisha na kuvuta wakati mmoja. 🦂ANAKATA UHUSIANO HAPOHAPO Scorpio hakublock😂anakufuta na kukufanya kama hakuwahi kukujua ni "KIFO NA KUZALIWA UPYA KWAKE”[PHOENIX].Anakata na kuponya peke yake. ❌JAMBO MUHIMU KUJUA👇 Scorpio hapigi kelele bure.Akiwa na hasira maana yake umemgusa mahali pa kina sans ,Akiwa na hasira na bado anazungumza na wewe maana yake bado anajali. ⚠️Like,comment,share kwa maudhui ya nyota zaidi📍 #scorpio #fyp #viral #foryou #viralvideo