@theworldofislam0.1: ‎Dkt Sheikh Abdulrazak Amir Amezungumzia Juu ya Wanawake Ambao Awataki Kutimiza Wajibu Wao Katika Ndoa Kutokana Na Sababu Mbalimbali ‎Dkt Sheikh Abdulrazak Amir Amesema Wanawake Wengi Awataki Kutimiza Wajibu Wao ikiwemo Kufanya Kazi Mbalimbali za Ndani Kama Vile Kuhakikisha Mume Anafuliwa, ‎ ‎Baadhi ya Wanawake Wamekataa Kufanya Shughuli ikiwepo Kumpatia Furaha Na Amani Kwa Mume Sababu Mume Anapenda Kunyenyekewa Na Kupatiwa Amani Na Mke Wake ‎ ‎Endapo Mume Atakosa Furaha Ndani ya Nyumba Ni Rahisi Sana Kwake Kutafuta Mwanamke Mwingine Nje ya Mke Wake Ni Rahisi Sana Kuhamia Uko Anapopata Furaha Na Amani ‎

the world of islam
the world of islam
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 30 July 2026 13:46:11 GMT
885
60
2
13

Music

Download

Comments

ame.ali60
Fahim :
ustadh ni kweli wanawake wanadharau Sanna
2026-07-30 20:46:23
0
dugeshali
godfather :
👌👌👌
2026-07-30 13:58:08
0
To see more videos from user @theworldofislam0.1, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About