@i7iilg: #لفل_ون #عز #ويلي #وليد_بن_فهد #qbfestival

𝐉𝐮𝐣𝐮 ྀི || 🇰🇼
𝐉𝐮𝐣𝐮 ྀི || 🇰🇼
Open In TikTok:
Region: KW
Thursday 30 July 2026 20:05:19 GMT
64697
1990
36
358

Music

Download

Comments

7rl84
SHAHAD ִִ𐙚 ִ˖ ִ :
الهدوء الي صار هههههههههههههههههههههههههههه
2026-07-30 22:37:57
71
s36mk4
🤍✨🇦🇪 :
بس باقي ابوفهده
2026-07-30 21:38:51
71
_.3hbk
✪RAWAN✪ |⏳1K :
الحين عز نعرفه بس وليد شدراكم انه هو
2026-07-30 20:39:24
14
n375515
👸🏼N :
هههههههههههههه وليد من زمان اعرف شكله بس عز اول مره اشوفه🤣🤣🤣
2026-07-30 22:51:04
2
framebyazzam
Azzam | 📸 :
الي يكلم وليد فهد؟
2026-07-31 00:46:25
1
ittswjdann
- :
ويلي مزيون.
2026-07-31 01:20:46
0
ch.c.c6
… :
عز الي ماسك الجوال ؟؟؟
2026-07-31 01:01:20
1
tr_z81
TA_D1 :
ككيف عرفتوو
2026-07-31 01:25:15
0
qusyh3
0 :
الي على اليمين وليد فهد؟
2026-07-30 22:29:00
1
bawah2013
ٕـ :
ابو جيزن
2026-07-31 00:36:00
0
.m_ae_
A :
تابعوني لو سمحتو
2026-07-30 22:55:52
0
s36mk4
🤍✨🇦🇪 :
بعدين مجّه فضح وليد قال أبوفهد بصوت خفيف
2026-07-30 21:39:18
1
f_r__s7
F :
كيف عرفت انه هم
2026-07-30 21:27:51
0
hemo_1o0
[•IBRAHIM•] :
صوت الفصفص الي طلع ههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههـ
2026-07-30 22:46:53
0
To see more videos from user @i7iilg, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Maombi ni dalili ya uhai kwa mkristo Kama wewe sio muombaji ni ishara ya kuwa maisha yako hayako vizuri Kiroho na  Unatakiwa kubadilika  Maombi sio jambo la kamati ya maombi  Ila maombi ni jambo la watu wote Kamati kazi yao ni kuratibu tu  Wewe ni mkristo na huishi maisha ya maombi  Mpendwa tayari wewe umekufa kiroho  Kama wewe sio muombaji ni ishara ya kuwa maisha yako hayako vizuri Kiroho na  Unahitaji kubadilika  Kitu cha kwanza ili uweze kuamsha maisha yako ya Kiroho katika maombi  Ni kutenga muda wako kwa siku yani iwe kila siku upate muda maalumu na ufanye kikamilifu na kwa uaminifu yani iwe ni maisha yako kuomba Unaweza kuanza kidogo hata Nusu saa kwa siku kutokana na muda wako lakini ufanye kikamilifu na kwa uaminifu  Pia utenge muda wa kusoma neno la Mungu kwa kila siku na ufanye kikamilifu na kwa uaminifu hata kama ni kwa udogo lakini huko huko katika udogo utaweza kukua taratibu na kufika viwango vingine kuliko kutokusoma kabisa Tabia huwa zinatengenezwa kwa kuwa na mazoea ya kile unachotaka kuwa  Tujifunze kwa Yesu maana Yeye ni kielelezo kwetu alikuwa ni mtu wa maombi  Marko 1:35 [35]Hata alfajiri na mapema sana akaondoka, akatoka akaenda zake mahali pasipokuwa na watu, akaomba huko. Alfajiri na mapema Yesu alitenga muda wa kuomba  Wewe ni nani ambaye hauombi ?  Jichunguze Maombi sio uchaguzi bali ni lazima kwa mwamini  Usiseme uko busy sana  Hapana ,Tafuta muda hata kama ni kidogo wa wewe kuomba  Unakuwaje busy hadi unakosa muda wa kuzungumza na Mungu wako ? Make time  Make Priority Plan to Pray Watu hutenga muda kwenye vitu wavipendavyo  Kama unapenda kuomba utatenga muda Maombi yanaua mapenzi yetu wenyewe na kutupa kutembea katika mapenzi ya Mungu katika maisha yetu Unataka kutembea katika mapenzi ya Mungu basi kuwa mtu wa Maombi  Maisha ya maombi yatabadilisha maisha yako Vipi kabla ya kufanya maamuzi yoyote magumu unaomba ? Usitumie uzoefu na ushauri wa wanadamu tu  Ingia kwenye maombi kwanza Omba kabla ya maamuzi yeyote unayotaka kuyafanya Unataka kufanya maamuzi ya kutafuta mke au mume  Mruhusu Mungu akuongoze katika machaguzi yako  Usipuuzie Katika hili  David Sima
Maombi ni dalili ya uhai kwa mkristo Kama wewe sio muombaji ni ishara ya kuwa maisha yako hayako vizuri Kiroho na Unatakiwa kubadilika Maombi sio jambo la kamati ya maombi Ila maombi ni jambo la watu wote Kamati kazi yao ni kuratibu tu Wewe ni mkristo na huishi maisha ya maombi Mpendwa tayari wewe umekufa kiroho Kama wewe sio muombaji ni ishara ya kuwa maisha yako hayako vizuri Kiroho na Unahitaji kubadilika Kitu cha kwanza ili uweze kuamsha maisha yako ya Kiroho katika maombi Ni kutenga muda wako kwa siku yani iwe kila siku upate muda maalumu na ufanye kikamilifu na kwa uaminifu yani iwe ni maisha yako kuomba Unaweza kuanza kidogo hata Nusu saa kwa siku kutokana na muda wako lakini ufanye kikamilifu na kwa uaminifu Pia utenge muda wa kusoma neno la Mungu kwa kila siku na ufanye kikamilifu na kwa uaminifu hata kama ni kwa udogo lakini huko huko katika udogo utaweza kukua taratibu na kufika viwango vingine kuliko kutokusoma kabisa Tabia huwa zinatengenezwa kwa kuwa na mazoea ya kile unachotaka kuwa Tujifunze kwa Yesu maana Yeye ni kielelezo kwetu alikuwa ni mtu wa maombi Marko 1:35 [35]Hata alfajiri na mapema sana akaondoka, akatoka akaenda zake mahali pasipokuwa na watu, akaomba huko. Alfajiri na mapema Yesu alitenga muda wa kuomba Wewe ni nani ambaye hauombi ? Jichunguze Maombi sio uchaguzi bali ni lazima kwa mwamini Usiseme uko busy sana Hapana ,Tafuta muda hata kama ni kidogo wa wewe kuomba Unakuwaje busy hadi unakosa muda wa kuzungumza na Mungu wako ? Make time Make Priority Plan to Pray Watu hutenga muda kwenye vitu wavipendavyo Kama unapenda kuomba utatenga muda Maombi yanaua mapenzi yetu wenyewe na kutupa kutembea katika mapenzi ya Mungu katika maisha yetu Unataka kutembea katika mapenzi ya Mungu basi kuwa mtu wa Maombi Maisha ya maombi yatabadilisha maisha yako Vipi kabla ya kufanya maamuzi yoyote magumu unaomba ? Usitumie uzoefu na ushauri wa wanadamu tu Ingia kwenye maombi kwanza Omba kabla ya maamuzi yeyote unayotaka kuyafanya Unataka kufanya maamuzi ya kutafuta mke au mume Mruhusu Mungu akuongoze katika machaguzi yako Usipuuzie Katika hili David Sima

About