@abdul.machine8: Amputee Football ni zaidi ya mchezo ni chombo cha kujenga uwezo, kuleta matumaini na kuhamasisha ushiriki wa watu wenye ulemavu katika michezo na jamii. Kocha ana nafasi muhimu katika kuendeleza mchezo huu kwa kuwafundisha wachezaji ujuzi, mbinu, maadili na nidhamu vitakavyowasaidia kufikia mafanikio ya ndani na nje ya uwanja. Kocha Abdul Machine. Mguu utaongea