@side_liwayn: Ukweli ni kwamba watu wana watu wao. Kila mtu ana wale anaowapa nafasi maalum katika maisha yake kulingana na mazingira, hisia na maamuzi yake. Huwezi kulazimisha mtu akupende, akuchague au abaki na wewe kama moyo wake hauko tayari kufanya hivyo. Jambo la muhimu ni kujifunza kukubali, kujiheshimu na kuendelea na maisha yako