hakuna ukweli hapo kwanza hakunaga kitu kinaitwa laanaa
2026-07-31 16:13:33
7
one day yes 🤲🕋🤲mambo :
💯
2026-08-01 00:47:27
1
cutesara💝 :
Siyo kwel nilimfanyia maigizo na ukatili usiopimika,Nilivyoachana mwenzangu amekuwa Teja wa pombe na kazini kafukuzwa nyumba kachukulia mkopo ambao Hadi Sasa inatakiwa kuuzwa,Lakini Mimi Nina familia naishi vizuri tu
2026-07-31 16:49:54
1
Ashmeroo :
wangu baada ya miezi 2 tu alifutwa kazi kabisa
2026-07-31 10:05:51
4
Rahima Mohamed :
wangu kazi ako nayo na hana maendeleo 😂
2026-07-31 16:29:07
1
❤️ :
Uongo bhnaa, usitishe watu
2026-07-31 18:09:49
0
kinyangino :
vipi kama wote mtaendelea kuishi vzr na kufanikiwa hata baada ya kuachana
2026-07-31 18:43:37
1
Amazing boda :
Mungu anachukia kuachana.
usiamasishe kuachana.
2026-07-31 20:28:24
3
valentine :
kweli wallah hujakosea Nina ushuhuda😂
2026-07-31 12:09:12
3
Jacky Shaday :
ndoa au mahusiano pia???
2026-07-31 15:56:00
1
Neema makoye :
si kweli je wanaosbabishiwa na wazazi hapana bana
2026-07-31 10:19:14
0
mambiola :
usi changanye mafainikio na ndoa hata firauni alikua na mafainikio na mungu hatoi laana kwa hivyo unavyo Dhani ww wapo wanawake wameachwa bila kisa tena kwa ushahid8 na bado wanapata tabu sio kila ndoa inalaana hapana kuachana kupo tu na maisha yanazid kuendelea mbona hata mubgu watu baadhi yetu hatu muabudu na magari majumba wanajenga
2026-07-31 16:09:12
1
user4546100055366 :
amene
2026-07-31 09:47:21
1
neemasanga147g@mail :
kweli kabisa
2026-07-31 09:56:59
1
Dainess Joseph :
kweli,sio kuolewa tu hata kuoa changamoto
2026-07-31 17:55:28
1
Damiani Sabasi Lashayo :
kweli kabisa mtumishi wa Mungu somo zuri sanaa.
2026-07-31 19:01:54
1
Mary Slah :
Amina ubarikiwe sana kaka
2026-07-31 10:33:15
1
To see more videos from user @fimbo.ya.musa11, please go to the Tikwm
homepage.