@zebra_restaurant_: KUBWA KULIKO Kama jina la package yenyewe linavyojieleza, hii ni package yenye MBUZI MZIMA NA MKUBWA, pia inakuja na mchanganyiko wa vyakula vya aina mbali mbali, kama Mandi, Pilau, Mandi Nazi, Biryani, Chips yai, Chips Kavu, Ndizi mzuzu na Sauces za aina saba...kwa kifupi hii ni kwa wale wapenda mboga saba... Wale matajiri ambao wanataka ku enjoy kwa pamoja kwa package za kujumuika pamoja kama hizi ambazo huwa zina sifa ya kuimarisha ujamaa... Package hii itakua ya watu 12 hadi 15: Bei ya package ni 250,000 tu Pia tunafanya Delivery na utalipia gharama ya sinia kwa ajili ya delivery ambayo ni 10,000/= Ukiachana na gharama za sinia, pia gharama ya usafiri ni juu ya mteja... WEKA ODA SIKU 1 AU SIKU NYINGI KABLA NAMBA ZA KUWEKA ODA NI: 0745 117440 0764 689647 0688 151783 0658 722393 WHATSAPP 0688 151783 TAFADHALI TUPIGIE, USITUME SMS ANGALIZO: ukiona tunachelewa kujibu whatsapp tafadhali tupigie kawaida kupata huduma yako kwa uharaka. LOCATION: TUNAPATIKA KINONDONI BIAFRA, "MTAA WA ATLAS ROAD"... Kwa BOLT, UBER au GOOGLE MAPS andika "ZEBRA RESTAURANT DSM", NAMBA ZA SIMU ZIPO KWENYE BIO YA PAGE YETU HII.

ZEBRA RESTAURANT
ZEBRA RESTAURANT
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 31 July 2026 08:28:54 GMT
231712
7885
69
251

Music

Download

Comments

celine.shirima
shirimaceline :
nimegundua wabongo niwakukurupuka mtu kajimaliza hapo lakin mmekazana bei gan someni
2026-08-29 18:39:04
3
janethmichael564
janethmichael564 :
mmeandikiwa bei jmn
2026-08-19 07:59:38
2
nasrahjuma905
brinnah :
sh ngapi iyo
2026-08-27 14:28:20
2
peter.steven07
Peter Steven :
Hii ni bei gani
2026-08-20 16:18:23
1
user727039907291
Aisha sayeed🥰 :
bei gan
2026-08-01 12:16:40
0
anna.hamisi65
Miss Anna ❤️ :
bei gani
2026-08-18 12:43:30
2
joycekasubi
joyce kasubi :
jibu xmx iyo bei gani
2026-08-20 06:37:31
0
safinahamza7
Safina Hamza :
shingapi
2026-08-25 07:54:47
0
jasmin.rashid41
Jasmin Rashid :
beii gn nawatuu wangp
2026-08-20 15:23:59
1
queensalsa194
queensalsa1 :
Hii ipo Kijuni
2026-09-05 05:39:35
0
biggyspecial
Biggyspecial :
Hiyo nyama ni ya mnyama gani!?
2026-08-19 17:08:25
0
dalalizekhchamanzi
dalalizekhchamanzi :
Hiii bei gani
2026-08-20 04:29:57
0
real_poul91
@255_SHADES🤓😎 :
Ndogo Kuliko Ipo😭??
2026-09-05 13:57:14
0
nauriyasoud
Nauriya Soud :
bigani
2026-09-01 11:03:17
1
sarah.ally5
Sarah Ally :
kama iyo bei gani jamani
2026-08-19 10:43:49
0
bin_hassan09
Bin_Hassan99 :
Hiyo nyama gani?
2026-09-03 18:50:40
0
neema.paulo00
ney 🥰❤️ :
mko Wap
2026-07-31 09:22:26
0
winfridacharlz
winfridacharlz :
hiyo ni nyama ya mnyama Gani
2026-08-30 14:26:25
1
sophy_sp
Sophy🦋 :
sio uongee wengine hatupendi kusoma bhn
2026-09-07 11:19:38
1
bizzoboy45
BIZZØ 4👊🤟 :
shingapi
2026-08-30 17:22:09
0
zulfamatajimataji
Zulfa mataji🦋🦋 :
250000
2026-09-05 10:02:02
0
zuwena1453
Zuwena :
bei
2026-09-06 22:06:38
0
khairey0821
Khairia Hussein :
250 rahisi
2026-09-01 17:05:24
0
pbaby2799
p💕baby💐🥰 :
mnapatikan wapiii jamn
2026-08-31 08:59:39
0
hannifei10
Emile :
soma kwenye kapsheni.
2026-08-02 07:17:06
0
To see more videos from user @zebra_restaurant_, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About