@zebra_restaurant_: JINA:MDUARA WALI hii inakua na mchanganyiko wa Mandi, Pilau, Biryani na Wali Maua, unapewa na sauce ya Biryani, njegere za Bluband na Special Recipe, Zebra Sambaro, Salad, na White sauce yenye secret recipe moja matata sana: Packages zinakua kama ifuatavyo:- WATU 3/4: BEI 48,000/= Hii inakua na Kuku Mmoja wa Kisasa na Nyama ya Ng'ombe ya Kutosha kabisa watu 3/4 WATU 5/6: BEI 65,000/= Hii inakua na kuku mmoja wa kisasa, nyama ya ng'ombe kilo 1, na vipaja vya kuku/Drumsticks 5 WATU 5/6: BEI 75,000/= inakua na kuku mmoja wa KIENYEJI, nyama ya ng'ombe kilo 1, na vipaja vya kuku/Drumsticks 5 WATU 8/10: BEI 95,000 inakua na kuku wawili wa kisasa, nyama ya ng'ombe kilo 2 na vipaja vya kuku/Drumsticks 10. WATU 8/10: BEI 115,000/= inakua na kuku wawili wa KIENYEJI, nyama ya ng'ombe kilo 2 na vipaja vya kuku/Drumsticks 10 RATIBA: JUMANNE ,JUMATANO, ALHAMISI,IJUMAA,JUMAMOSI, JUMAPILI KUANZIA SAA 6 MCHANA HADI SAA 3 USIKU, DELIVERY:Gharama za usafiri ni juu ya mteja na pia utalipia sinia sh 5,000 kwa ajili ya take away package) NAMBA ZA KUWEKA ODA NI: 0688 151783 0658 722393 0764 689647 0745 117440 WHATSAPP 0688 151783 TAFADHALI TUPIGIE, USITUME SMS ANGALIZO: ukiona tunachelewa kujibu whatsapp tafadhali tupigie kawaida kupata huduma yako kwa uharaka.
ZEBRA RESTAURANT
Region: TZ
Friday 31 July 2026 08:44:32 GMT
Music
Download
Comments
C.E.O 966 :
location please
2026-08-02 08:52:23
0
gravity :
shingapi
2026-08-01 12:54:30
0
Leonard Segere :
200,000
2026-08-02 07:14:56
0
Shabani Sudi :
how much this package?
2026-08-01 21:14:27
1
Adam Mj :
Location jamani
2026-08-01 16:54:40
0
Ajmal Said :
is this zanzibar or mainland tz
2026-07-31 19:29:55
0
Dr Erick Mlawi,MBBS :
watu 10 hapa tunaonja tu,,,,,labda wanne
2026-08-01 07:09:57
11
BAGOBAGO😎 :
Mimi nataka mniuzie sumu
2026-07-31 10:29:33
2
Michael Sebastian :
bei gn kama hii
2026-07-31 10:59:20
3
adam diyung :
karibu mafuta safi ya alizeti
2026-08-01 12:03:02
0
ALLY DIKULEMILE :
bei gani iyo n mpo wap
2026-08-01 06:36:07
1
limbeghala family :
mpo wapi tujeee?
2026-07-31 11:50:19
0
imma the boy :
Taja bei mambo ya kusema niyawatu kumi, ko unanipangia wakat naweza maliza peke ang🤣🤣🤣🤣🤣
2026-07-31 21:47:33
2
lacaboyy :
mnauliza uliza bei tu mnauliza na bei ya tofali mwenye nyumba kashamis nyumba yake
2026-08-01 04:15:29
0
rehemabadi109 :
dada hiyo chakula ni bei gani niambie tafadhali
2026-07-31 20:25:00
0
Kelvije Elisante :
napataje namba? nianze wikend vizur
2026-07-31 11:26:49
1
johnmajondokitull :
Msosi kama huo kwa bei gani
2026-07-31 19:33:59
0
paulitengia, :
kwaiyo nikija mwenyw hamni uziii?
2026-07-31 10:36:03
2
Richie Mrosso :
watu kumi gani, hyo hapo ni mimi na mwanangu Abdul Kamati unatuongezea mtu imekwaisha tunapga chini, kwanza Bei gani hyo?
2026-07-31 18:15:37
0
@yasirdax0 :
kuweni serious aiseeh hii mbon ya watu wawili
2026-07-31 12:01:04
1
Cyprian :
kama iyo shingap
2026-07-31 15:39:49
1
perfect David Watson :
location
2026-07-31 10:34:22
1
Dominick Pascal :
unaruhusiwa kununua halafu ukala peke ako chote.
2026-07-31 11:23:43
0
SP Kibuki :
kama iko shingapi
2026-08-01 10:21:54
1
Godlisten Gaarey :
location ni wapi
2026-08-01 09:51:24
0
To see more videos from user @zebra_restaurant_, please go to the Tikwm
homepage.