Kuna rafk yngu ananambia huu mfunguo 3 wa juzi walikuwa hijja pamoja na chumba kimoja,kafanya hijja yote na km kiongozi,walipokuwepo makka ndio alianza changamoto y kuumwa kwa joto kali .alikua akimwambia mara kwa mara kuwa somo naumwa najikaza tu.ila wamerud salama.allah amsameh makosa yke
2026-07-31 18:01:39
54
dear Lord :
Allah mrehemu mwalim wetu kipenz ya rabby masamehe madhambi yake amiin 😥😥
2026-07-31 13:49:48
41
Khaled_HD👑 :
Mungu amlaze mahala Pemba pepon Amin🥹🥹🥹
2026-07-31 13:53:19
27
@Name :
amin amin
2026-08-01 05:40:51
0
MUNI BOY :
ALLAH AMSWAMEH MAKOSA YAKE AMJALIYE KAULI DHABIT NASI ATUJALIYE MWISHO MWEMA