@mathias.canal: Dodoma...! Niliwahi kumsikiliza Mchungaji Antony Lusekele akisisitiza jambo moja lenye thamani kubwa maishani. Alisema usikubali kumpoteza mtu mwema, Mtu aliyekutendea wema ni zawadi ambayo si rahisi kuipata tena. Linda mahusiano mema, thamini wanaokusimamia kwa upendo, na usiruhusu kiburi, hasira au makosa ya muda mfupi vikakuondolea watu wenye thamani katika maisha yako. SALA na KAZI
Mathias Canal
Region: TZ
Friday 31 July 2026 11:55:24 GMT
Music
Download
Comments
Goodluck :
Great brother 🙏
2026-08-03 14:11:40
1
Mama b&E :
bora wewe ambae unakumbuka hayo heli wenye moyo safi watamuona bwana
2026-08-01 09:25:06
8
Beatrice :
Watu wema tunaongoza kwa kuumizwa…ni sawa ila tusisahau kunywa maji yakutosha.🙏
2026-08-03 19:35:24
4
Golden Melanin 🐭😍 :
🫰crock it
2026-08-01 16:23:23
1
Gee Joh :
Siku hizi kuwa mwema ndio sio vyema
2026-08-02 10:11:40
3
Peach rene💟🤍💁♂️ :
say it loud
2026-08-02 05:48:48
1
Greymorious :
Ameen mungu atupe nguvu
2026-08-02 06:01:21
3
mom😍&Daughter💋👑 :
chuo changu cha mtumba
2026-08-02 19:30:58
2
happy daudi :
ubalikiwe mtumishi
2026-08-02 08:06:41
1
Ashuu Abdalah :
sawa
2026-08-01 16:37:27
1
la family :
mara nyingi mtu mwema unaishia kujuta🥺
2026-08-01 19:18:42
2
Tumain Muniss :
kabisa kaka
2026-08-01 05:05:54
1
janegervas@ :
Amina
2026-08-02 05:13:31
1
floraringo0 :
Wema wa Mungu hauelezeki.
2026-08-01 18:21:14
1
p :
ni sahihi
2026-08-01 08:17:47
1
Doric ♐ :
Heri wenye moyo safi
2026-08-01 16:25:31
1
bbymode02 :
kwelii
2026-08-01 07:00:37
1
Nisha :
Natafuta kazi nipo Dodoma
2026-08-02 11:56:35
1
stev wami :
veema
2026-08-01 12:34:59
1
BabaWaMataifa. :
Amina Boss
2026-07-31 22:22:36
1
Kin :
A thankful heart 🙏🙏remain blessed
2026-07-31 21:50:35
1
MamaaainChrist :
Umenena vyema ila siku zote uzuri wa kitu unaonekana ukiwa tooo late ushakipoteza kikiwepo unaona Cha nini Mungu tusaidie 🙏🙏🙏
2026-08-01 07:24:29
3
fp :
umenena na hii imenikua nikiwa na motion mbaya nikajikuta nalia
2026-08-01 12:05:48
2
Hassan om :
saf sana kaka mung akufungulie mku
2026-07-31 18:06:18
1
To see more videos from user @mathias.canal, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.