Ata kwa maumivu hayo Mungu ameskia kilio chako and you will heal soon babe❣️❤️🔥🌹 all the best in your healing 💖
2026-08-01 04:52:52
0
Rose James :
weweeeeeeeeeee......
2026-07-31 21:16:47
1
ENGINEER :
you be back stronger 💪
2026-07-31 17:31:45
0
Aunt jj :
Nimebarikiwa mom thanks🙏🙏
2026-07-31 18:34:30
0
HUMBLE MAN PEACE 🙏 :
aisee una sauti nzuri dada tukimba na mm balaa aisee katoliki naipenda acha tu
2026-08-01 08:00:24
1
wemasenya :
You'r stong women🙏🥰
2026-08-01 06:11:07
0
Rob willy :
fratel Anatory ni 🔥🔥🔥
2026-08-01 04:03:06
0
odasius paschal :
Mungu azidi kukupigania uimarike zaid
2026-08-01 06:48:21
1
Jose ✨✨⭐✴️ :
phina Mungu mwenyezi azidi kukuimarisha kiafya na uzidi kumtumikia yeye pia karibu siku moja parokia ya mt martin wa tours ngoyoni rombo Kilimanjaro sisi kwaya ya vijana Mt stephano shaid tunasema tunakupenda sana
2026-07-31 15:50:34
8
wamz sisterlocks :
hosanna juu mbinguni
2026-08-01 05:31:30
0
georgemadaki418 :
Hongereni sana
2026-08-01 06:16:41
0
clementlugoda :
“Sasa nayafurahia mateso niliyo nayo kwa ajili yenu; tena nayatimiliza katika mwili wangu yale yaliyopungua ya mateso ya Kristo, kwa ajili ya mwili wake, yaani, kanisa lake; ambalo nimefanywa mhudumu wake, sawasawa na uwakili wa Mungu, niliopewa kwa faida yenu, nilitimize neno la Mungu; siri ile iliyofichwa tangu zamani zote na tangu vizazi vyote, bali sasa imefunuliwa kwa watakatifu wake; ambao Mungu alipenda kuwajulisha jinsi ulivyo utajiri wa utukufu wa siri hii katika Mataifa, nao ni Kristo ndani yenu, tumaini la utukufu ambaye sisi tunamhubiri habari zake tukimwonya kila mtu, na kumfundisha kila mtu katika hekima yote, tupate kumleta kila mtu mtimilifu katika Kristo. Nami najitaabisha kwa neno lilo hilo, nikijitahidi kwa kadiri ya kutenda kazi kwake atendaye kazi ndani yangu kwa nguvu.”
[Kol. 1:24-29]
2026-08-01 05:45:25
0
Godie De Smith :
misa ya nan hii sorry naomba kujua mtunzi nimeielewa sana