@pointfmtz: Afisa Usajili Mwandamizi wa NIDA jijini Dodoma, Grace Msacky amesema kuwa Namba ya utambulisho hutoka mara moja na haiwezi kubadilika hivyo ikiwa kutatokea changamoto Mwananchi hupaswi kujisali upya badala yake unatakiwa kufuata taratibu za urekebishwaji ili uweze kurejesha namba yako ya utambulisho kwa wakati. Grace ameeleza hayo wakati wa mahojiano na Mtangazaji wetu @happyangelbalisidya kwenye kipindi cha The Morning Rush siku ya leo hapa Point Fm 96.5 📹 💻 @ciphaleetza ___________________________ #Pointfm #ulimwenguwaburudani

Pointfmtz
Pointfmtz
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 31 July 2026 16:16:23 GMT
142133
2119
97
380

Music

Download

Comments

u61752
Meshack_Pius :
Je naweza kubadilishiwa picha yangu??? Maana ile picha hapana kweliiiiii
2026-08-01 13:49:44
9
billsamo1
sam☑️🇹🇿 :
nmeenda Arusha kisongo pale kurekebisha jina la mwisho wakaniambia niende Kwa mwanasheria au mkuu wa wilaya nipate kibali af niende tena kutangaza kwenye gazeti la serikali kwamba narekebisha jina mwisho tuu basi nikaona mlolongo mreeeeeeefu nikaachana nayo bhana woyiiiiiiii
2026-08-01 10:40:55
6
madukasayi
madukasayi :
Mimi hii kitu nimeteseka nayo toka 2020 baada tu ya kuitwa kwenye interview majina yangu yote yalikuwa kwenye vyeti vya shule yalikuwa tofauti kabisa na majina niliyojiankisha kwenye NIDA. Nimekuja kufanikiwa 2026 mwezi wa tano, Nimetumia pesa nafikiri inafika 1M mpaka nakamimilisha. Nawashauri tu ndugu zanguni Watanzania unapoenda kujiandikisha NIDA wewe au mtoto wako hakikisha taarifa ni sahihi zote. mimi nimefika hadi makao makuu ya NIDA Dar es salaam pia Nilienda hadi Baraza la Mitihani TANZANIA kuhakiki vyeti vya secondary, nilipita na Mahakamani kuampa na kupewa affidavity yaani nimepita kila kona ambayo ipo attarched na Mamlaka ya NIDA. kwa hiyo nawasihii sanaaa issue hii ya NIDA ni deep sana hasa ukikosea kujanza taarifa zako. hayo ya kujiandikisha upya ili nipate namba mpya nilifanya zaidi ya mara mbili bado ngoma ilikuwa ngumu.
2026-08-02 10:44:02
1
mama_coco_6
Mama Coco 💚 :
Yaan nilipoteza nikaenda Nida nikalipia 20000 lakn nikapata baada ya 3 years na kimekuja hakifai kimeanza kufutika ikabid nikiache Nida mpka leo ni miaka 2 na sijakipata dah
2026-08-01 19:36:25
1
gloryswai433
gloryswai433 :
yaani kubadili details ni mlolongo sana jamqni..toeni njia rahisi ya kupata
2026-08-01 15:00:23
2
minahcollection
Minah collection Arusha :
Nidda inaweza kufungiwa??? Mm yangu inasema imefungwa 😂😂😂
2026-08-02 06:05:42
0
privia09
user46187219161181 :
asante dada nimekuelewa vzr.mm mwaka ndo ulikosewa ntafstria ili nilekebishe.
2026-08-02 03:33:35
1
silasmagumi
Silas Magumi :
nida mnatusumbua sana nilijiandkisha mpaka leo hakuna mwelekeo
2026-08-02 13:44:16
0
tripleetriple
Berna :
yàani NIDA bhana!!
2026-08-01 17:32:28
2
mr.shine72
mr.shine :
ushawahi apa na jina likatoka kwenye gazeti na bado unaambiwa njoo kesho ! yaan namaanisha kesho hata ukienda kesho bado unatakiwa kwenda kesho yake yaan kiufupi uende kesho , ukienda hio kesho si inakua leo koo watakwambia fata maelekezo tulikwambia keshooo🤣🤣 hii bongo hapana.
2026-08-01 16:05:04
2
philipohosea
Philipo Hosea :
kubadilisha taarifa mfano majina kesi inaishia mahali ulipojiandikishia au muhusika analazimika kwenda hadi mkoani, uhamiaji labda maana tunajaribu vizingizti vinakuwa vingi kwelikweli...! Na je ni bure hakuna gharama? iwekwe wazi. Na je kwenye marekeshi haya iwe majina, tarehe, mwezi na mwaka hapa mahakama inahisika au la? na je ni bure ama kuna gharama?
2026-08-01 13:39:33
1
mambuo20
mambuo20 :
kurwkebisha ni mlolongo mno hadi mtu anakata tamaa,punguzeni milolongo, mara kutangaza hadi kwenye gazeti la serikali
2026-08-02 18:18:23
0
teddy.nusuboy
Teddy Nusuboy :
mm wamekosea jina
2026-08-02 15:53:18
0
binti____mongi
binti____mongi :
Changu kinafutika jamani
2026-08-02 17:24:26
0
drleon008
Drleon008 :
unaelezea vzr 🤗....si bora tubaki na namba tu jmn🙌
2026-08-01 11:25:54
1
kunguru562
Solo👑👑 :
huyu dada yuko wapi niende anielekeze na shida zingine za Nida😂😂😂😂
2026-08-01 17:37:29
1
user3385980199399
Remminister :
vipi kwenye ajira mwanangu walimkosea wenyewe mwezi wa kuzaliwa haitaonyesha watu tofauti
2026-08-02 14:05:37
0
eshedau
eshedau :
mie nitakuja kurekebisha
2026-08-01 07:02:11
0
twins3606
AkA❤️🙏 :
ani mbasumbua mpak karah sijui mnafanyag nayo nn miak miwil marekebish aseee hii nchi
2026-08-02 14:29:23
0
merdichades.bonip
Brightness 🔆 big boss :
kiongozi samahani lakini naweza pata namba yako
2026-08-02 13:50:35
0
auntie_rasta
NESS BEAUTY AND RADIANT :
Alokuwepo dar wiliya ya Ubung na amenfungiwa NIDA 😂 twende tukafatilie
2026-08-03 01:06:43
0
zakayongahemelwa5
Fundi mjenzi :
naomba kujua NIDA yangu inasoma jina langu, ila nikisajili lain naambiwa NIDA siyo yangu, shida nn? nimeenda ofisi za NIDA wilaya wameshindwa kuelewa naomba unisaidie Sina lain yenye jina langu hata moja
2026-08-03 05:41:35
0
zuhratyj762
zuhrati672 :
ofisi zenu ziko wapi Maana mm kitambulisho changu kimefutika maandishi
2026-08-02 15:22:16
0
jaydenjackson2025
JAY'S "#42" :
NIDA kwakwel huduma ni mbovu sana nimepeleka.kitambulisho kimefutika namba tokea March hadi Leo hakijawahi Toka??? shida Iko wap?
2026-08-02 14:01:39
0
fatayako65
MAMDOGO💋😘😘 :
mimi kitabulisho kilipotea nitakipataje ndugu nisaidie
2026-08-01 11:10:46
0
To see more videos from user @pointfmtz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About