Ongeni tu ila usito mfano na nchi nyengine,, tuangalie znz kam znz izoo fain kubwa kulingana na uchumi wetu sis kama znz,, munatowa mfano dubai,,
2026-08-01 04:03:16
19
khamis Saidi :
daaa watu wa napenda tu kuongea lakini hizo fain ni kubwa sana
2026-08-01 04:46:59
8
sule :
Brilliant 👏👏
2026-07-31 22:54:00
0
kofia za oman :
boresheni uchumi sio mi cameraa tu kukomow watu
2026-08-01 06:55:50
1
Mr Fix305 :
Kwa nini serikali hizi pesa zote wasikae nazo wao halafu sisi tukaishi free bila ya pesa, maana si kwa ukubwa wa faini hizo😳
2026-08-01 06:03:13
2
imir :
speed 50 kwa airport siungi mkono afadhali 60 basi
2026-08-01 07:17:38
1
MR KAS :
😁😁😁 speed 50 wanatuchezesha saana mbona
2026-08-01 03:07:32
3
فهد الرواحي :
Ni jambo zuri ila faini viwango vyake vikubwa sanaa haziendani na hali za wazanzibari
2026-07-31 23:35:43
1
Umar :
Naomba serikali iangalie suala la emergency namuahisha mgonjwa hospitali nimewasha hazard light inakuaje kuhusu hili ?
2026-08-01 04:30:26
1
aladinho 13 :
Faini ya Zanzibar kubwa kuliko Dubai 😅
2026-08-01 12:44:27
0
rmoh26 :
mwez mmoj tu hazifny kaz ten😅
2026-08-01 06:34:13
4
Khan mpemba :
maisha magumu znz yana kuja sasa
2026-08-01 06:59:13
0
HAJI FRANÇAIS À ZANZIBAR🇨🇵 :
wanachukua mikopo wanakula wenyewe..halfu wanataftia watu sababu walipe
2026-08-01 10:53:02
1
Swahib :
1 inakuaje upigwe faini kwa kuongeza speed halafu speed iwe 250000
2 tunaomba magari ya serikali yawe ndo mfano
3 kwa maoni yangu msafara wa Rais utembee speed ileile kwa katika kubeba uzito wa hilijamno
4 je ni kweli itapigwa faini gari la serikali kama ni kweli nani analipa faini ile
5 kila gari la serikali linapopigwa faini lionyeshwe kwakutumwa katika social media ili wananchi tuone kwamba hii sheria haipo kimatabaka
2026-08-01 05:57:52
2
Modred04 :
haya tuone izo ajali sizitokee
2026-08-01 10:36:59
0
Abdulnurbilhusni :
huo sio usasa watu wanataka pesa za watu za Kody deni kubwa walilokopa hakuna usasa hapo
2026-08-01 04:50:59
0
dj rasta :
nikiizipita2 kamera resi kama kawaida😁
2026-08-01 09:27:00
1
Khamis Muhunz :
kwani hizo fain hazijawahi kutozw kwa camera? coz ukienda nungw zipo n fain unapgwa
2026-07-31 18:42:20
1
Triple 'S' :
faini kubwa sanaa semeni ukwel msiogope camera
kw uchumi gan tulokua nao wa kulipa faini kubwa km izo
2026-08-01 06:33:52
0
🇵🇸MUXEVENEBLEH🇴🇲🇦🇪.❤️💪✅ :
hapo pesa inatafutwa kwa nguvu, shida hakuwez kuwa na usalama wakat alama za barabarni zinapopaswa kuwekwa hazijawekwa 🥺
2026-07-31 22:21:28
4
Bintizanzibar :
Bandua tu namba biometric inafanya kazi huna pa kukimbilia.
2026-08-01 04:45:47
1
user2302852442859 :
unajua shida ipo wapi hatuwez kuwekewa kamera kwa sababu hatuna njia ya mwendo kasi kama sisi tuna haraka wanatuzingua mm leo nimepita mabio sanna maana nimesahau ah mi cjaikubali kwa hiii kwanza tuwe na miundo mbinu ndo tuwekewe hizi na pia wangeanza na faini ndogo
2026-08-01 07:27:59
1
Bayser :
Mim naomba izo camera zitoe ushirikiano pia yanpotokea matukio ya kihalifu, hondo zikimbiwa.nakadhalika
2026-07-31 21:29:17
3
El-Ismaily :
Hata Tanganyika hakuna 😁😁
2026-07-31 21:37:55
1
To see more videos from user @isleblogtv, please go to the Tikwm
homepage.