@come.tv.tanzania: Inawezekana Waislam waliona mbali juu ya kuoa mke zaidi ya mmoja! #dodomatanzania #somalitiktok #kenyantiktok🇰🇪 #bujumbura_burundi #rwandatiktok🇷🇼 #zibabwetiktok #mbeyatikto #burunditiktok🇧🇮 #kampala_uganda #uganda tik tok #southafricatikto #mtwarandiok #nairobitiktokers #daressalaam #diamondplatnum #BUNGENIDODOMA #tamuchungu #mozzarella #kinshasa #congolai

Come Tv Tanzania
Come Tv Tanzania
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 31 July 2026 17:40:58 GMT
42397
2008
91
181

Music

Download

Comments

user73222855773172
Yazeed_ Mobare :
Kuoa mke zaidi ya mmoja sio suala la Waislamu kuona mbali maana Sheria katika Uislamu amepanga Mungu na si Waislamu kujipangia wenyewe
2026-08-01 00:51:05
41
titokiwale2020
Tito Kiwale :
Ni imani ya mtu tuu hakuna mahali kwa biblia imekataa kuoa zaid ya mke mmoja thats why I'm Christian and nmeoa zaid ya mke mmoja pia
2026-08-01 07:26:27
6
user5880035621373
jay Z :
sio kwamba sisi waislam ndio tumeona laaghasha ila mungu anatujua waja wake kuliko sisi tunavyofikiria kila sifa njema inamstaki Allah muumba wa kila kitu
2026-08-01 08:41:42
7
_rollando
Hroudland :
Ali Khamenei mwenyewe alikuwa na mke mmoja.. sasa uyo jamaa kamzidi uislamu Ali khamenei
2026-07-31 20:48:46
5
seiphshaphyy1
seiphshaphyy :
waislamu tujuwaneapa
2026-08-01 06:34:26
7
frankmoshi7
mo ph :
not necessarily
2026-07-31 19:44:16
2
alawi6806
Alawi :
Uislam sio dini ya mtu au watu. ni dini ya mwenyewe M/Mungu (Allah)
2026-08-01 09:05:21
3
rajabmuungwana5
rajabmuungwana :
Sheria ktk Uislam ni zaidi ya Sayansi, ili uwe Muslam inahitajika Rehma ya Allah and nothing more!
2026-08-01 06:53:42
2
mohamedmtanzania0
mohamed mtanzania :
Allah amuongoze
2026-08-01 10:43:51
1
tanganyikatechhub
Tanganyika Technohub :
Mbona hizo tabia za kwetu wasukuma tunaongeza wake kama wasaidizi wa kazi na kuzaa Watoto wengi kama wasaidizi na kusimamia SHUGHULI za familia. wasukuma wanajua hiyo mbinu mapema sana
2026-08-01 07:29:36
2
suleymanirogath
suleymanirogath :
nimejifunza kituu
2026-07-31 18:59:18
4
greatness..09
Greatness :
kka Asante nilikua napotea
2026-07-31 19:13:22
4
ankotariq
Anko Tariq /// Falcone :
Kwenye Bibilia hakuna mahali kume tajwa kuoa mke zaidi ya mmoja ni dhambi. Kuna walio chaguliwa na Mungu kwenye bibilia na walikua na wake wengi tu
2026-07-31 20:39:11
3
evanstech4
evans tech :
brow iyo me nimeipenda san brow
2026-07-31 20:23:56
2
idrissabakarimson
idrissa swahib lihidaya :
Yuko vzr
2026-07-31 17:56:13
1
smart_dodoma
smart_dodoma :
🤝🤝🤝Hii Imekaa kitaalam sanaa KaCopy Swagger yang aiseee
2026-08-01 02:01:20
1
titanium.boy6
KANYIKA MWAKOLONGE :
mbona kama unanisema mm
2026-07-31 19:47:31
1
hafeezzungu1
Hafeez Zungu :
na mm nioe
2026-07-31 19:56:35
1
jazila922
jazila :
mungu amuongoze
2026-08-01 11:48:27
0
bale.champs
bAle CuraCAo :
Si waislam....ni mungu
2026-08-01 12:03:04
2
set_username604
cognitive impairment :
si waislamu ni amri ya mungu kasema
2026-08-01 11:51:13
0
wakaka897
Wakaka :
hii sunnah ina wafaidisha sana wanawake sema wenyewe hawajajua, lkn pia sisi wanaume hatujajua kutumia hii sunnah. hii ni moja ya code muhimu umetusanua, lkn zipo nyingi kwenye maelekezo na tunashindwa kuelewa code ambazo Mwenyez Mungu ametupa kutokea kwenye vitabu vyake vitukufu.
2026-08-01 12:19:34
0
sobbo06
SOBBO STORE :
swadakta
2026-08-01 12:16:38
0
lubumalwamo
lubuma007 :
Jamaa kakaa kimasilahi sio ikhras. ila kma anafanya ibada na niimuadilifu kwa wake zake safi sana
2026-08-01 13:18:10
0
pumzikamamamzacema4
RASULI MRINA :
Yuko viziuri sana
2026-08-01 05:04:07
0
To see more videos from user @come.tv.tanzania, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About