@mpamb4naji: “Jeneza halina miguu. Siku moja sote tutabebwa na wengine. Hilo pekee linatukumbusha kuwa kiburi hakina faida. Tuishi vizuri na watu, tusamehe pale inapowezekana, tuheshimiane na tufanye mema. Mwisho wa maisha, watu hawatakumbuka ukubwa wa mali zetu, bali ubora wa tabia zetu. 🤝” #Mpambanaji #Maisha #TabiaNjema #Heshima #Motivation