@hekimazamaisha: Ukubwa wa mtu haupimwi kwa umri au cheo, bali kwa uwezo wake wa kutunza siri za wengine hata baada ya kuachana nao,Kuna watu hufichua siri za watu baada ya ugomvi au kuachana. Je, unaweza kutunza siri za mtu ambaye leo si rafiki yako tena?