Hayo ni maarifa sasa jinsi ya uendeshaji wa kifeza ila tujiulize itawezekana vipi uitwe masikini halafu unapesa nyingi
2026-08-02 11:51:40
2
Gabriel Kimwi :
ok
2026-08-02 07:42:21
1
muzungu2038 :
hap nimalifa tu
2026-08-02 06:40:08
1
Bill Sadala :
Hii siyo kwelii Mtu mwenye uwezo, akili, au mifumo inayoweza kuzalisha bilioni anaitwa mjasiriamali mwenye uwezo mkubwa au potential billionaire. ila billionaire ni Kuwa na mali, pesa taslimu, au hisa ambazo ukizipiga hesabu na kutoa madeni yote, thamani yake safi (net worth) inafika au kuzidi bilioni 1
2026-08-02 09:36:31
1
John Rubeya :
lete maneno baba
2026-08-01 21:56:01
1
DJT@Forest :
Hapa ni kuchukua lile linalohusu lkn pamoja na mengne yote, utajiri unapimwa kwa kias Cha pesa ulichonacho pia
2026-08-02 21:15:13
3
Benjamin Gingo :
nam nip
2026-08-02 08:33:12
2
mei popa 45🥾 :
nimekuelew kaka👍
2026-08-02 13:13:39
1
sallubucheyeki :
@sallubucheyeki:Leo umefunika kwa kusemea jambo ambalo Watu wengi hawalijui. ' ... unaweza kuwa na Fedha nyingi lakini bado wewe ni Maskini, na pia waweza kuwa huna Pesa lakini wewe ni Tajiri ... Utajiri ni namna ya Fikra za Mtu alivyo na Uwezo wa Kutengeneza Accet za kumwingizia Hela.
2026-08-02 08:11:47
1
STEVEN MADOLLAR :
natuchanganya jaman dah ngoj mm niendele kutafuta nitege mitego