zile picha tunazo pigwa kwani ukenda mawasiliano unapewa ile picha mana mimi zangu wanazo kama tano
2026-08-01 16:21:06
11
EDIZO SHOOTER :
polisi asiwe sabab ya kukufanya uvunje sheria 😂
2026-08-01 13:59:33
6
Said Mohammed :
shida ya sheria hizi anae tunga yeye anaendeshwa
2026-08-02 12:43:32
1
Ghurayra :
Au askari akituita tufanye kama hatumuoni sasa 😂
2026-08-01 12:36:27
7
Abuu Reelan :
toa plate number
2026-08-01 13:55:05
5
Island soul & safari :
😁😁😁umeuliza swali zuri sana ndugu
2026-08-01 10:34:03
8
Omilizo Dunia :
iyo mm nishanitokea mzee
2026-08-02 04:26:37
1
uprising501 :
Tafuta usafiri wa kucharge
2026-08-02 04:14:46
1
andrea :
nakubali kaka ujakosea
2026-08-01 19:02:09
1
Khamis Saleh :
tunataka kuibiana tu
2026-08-01 19:13:13
1
Aنwar :
wakizima sisi tunaunganisha tu
2026-08-01 13:58:15
9
Issa Juma :
kwel kak watupe jibu
2026-08-01 19:28:26
1
Ali aliy :
janatuu Imetoteya
2026-08-01 18:08:54
1
R10 :
Bro kila kitu kipo active ondoa shaka watu wanalipwa kwa kuangalia hayo matukio tu na hiyo ndio kazi yake ni kuagalia screen tu kila Angle
2026-08-02 12:41:52
3
reyhussein :
natafuta kazi jamani niko zanzibar ata kuuza duka🙏🙏
2026-08-02 14:27:26
0
Ali aliy :
baba weacha tuu
2026-08-01 18:08:22
1
allybakari97 :
Kaka minajaribu kukujibu popote pale panapokua na askari traffic anaongoza vyombo basi hata kama kuna taa za barabarani basi madereva wote inabidi kufuata maelekezo ya askari police maana hizorisiti kunawatu wanapitia matukio yaliyochukuliwa kwa kamera.
2026-08-01 20:47:34
1
KOMBO :
ndio maana tukatakiwa twende driving school ili tukajue sheria na kanuni za usalama barabarani na sio kwenda kwaajili yakupata leseni tu.
2026-08-01 18:07:55
3
sandy :
utalipa tu
2026-08-01 17:56:35
1
GiandudizanzibarOg :
bro Tatizo serikali ya Zanziibar inakurupuka kwenye sheria zao
2026-08-01 18:44:56
1
Albahry112 :
block msafara polisi hayupo juu yasheria km sheria wametuletea wao itabidi zituhusu sote
2026-08-01 16:22:46
1
smart car :
umewahi kuona gari za viongozi kuziona kwa silver zikipasishwa road+bima baba
2026-08-01 20:12:37
2
To see more videos from user @mtotwabaharia, please go to the Tikwm
homepage.