@conradtheone1: JESHI LA MAREKANI LAONYA: RASILIMALI ZA KIJESHI HAZITOSHI KUENDELEA KUILINDA ISRAELMkuu wa Kamandi ya Jeshi la Marekani barani Ulaya (EUCOM), Jenerali Alexus Grynkewich, ameripotiwa kuionya Pentagon kwa maandishi kuwa Marekani haina meli za kivita za kutosha kuendelea kuilinda Israel dhidi ya makombora ya masafa marefu ya Iran.Kwa mujibu wa taarifa hizo, jenerali huyo amesema kuwa bila kuongezwa angalau mharibifu mmoja wa kivita (destroyer), Jeshi la Wanamaji la Marekani litalazimika kuweka kipaumbele